Nyumba inauzwa bei poa Chamazi

Nyumba inauzwa bei poa Chamazi

emkey

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2011
Posts
728
Reaction score
137
Ni nyumba kubwa Tu, ina vyumba 3, stop 1, master na choose chake, jiko, sitting room na dining room. Imeezekwa upande mmoja. IPO ktk kiwanja cha ukubwa wa futi 70*60. Nguzo ya umeme ipo JIRANI na Barabara ipo safi Tu. IPO chamazi karibu name azam complex, bei ni milioni 18 tu. Contacts 0788-252045.
 
Tupia picha ukileta maneno yako tu hapa ni ngumu kueleweka, fanya biashara ki digitally
 
Nauza kiwanja kipo mbande bei 4.5m na tofali zipo hapo kiwanjan 2000 bei mil2 jumla 6.5 ni pazuri usafiri unafika umeme upon jiran mawasiliano 0712151818
 
Ni nyumba kubwa Tu, ina vyumba 3, stop 1, master na choose chake, jiko, sitting room na dining room. Imeezekwa upande mmoja. IPO ktk kiwanja cha ukubwa wa futi 70*60. Nguzo ya umeme ipo JIRANI na Barabara ipo safi Tu. IPO chamazi karibu name azam complex, bei ni milioni 18 tu. Contacts 0788-252045.

Umeshauza mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom