Recent content by Scarab

  1. Scarab

    JamiiForums Tanzania Nimenunua powerbank feki , msianguke nilipojikwaa

    Karibu town, karibu tena
  2. Scarab

    JamiiForums Tanzania Nimeuza kiwanja changu milioni 10, nataka ninunue bodaboda 3. Hii biashara mnaionaje?

    At least me ningejenga vyumba vya wapangaji single coz nyumba itakuwepo miaka yot tofaut na pikipik inaanguka mda wowote road
  3. Scarab

    JamiiForums Tanzania Marvel Cinematic Universe special thread

    Hapa naisubir gold booster liveaction ni moja ya hero ninao wapenda sana ,yey ni loser kutoka 30 century ambay anachukua tech kutka future na kutime travel mpaka 21 century na kujiung na justice league na kupretend kuwa superhero
  4. Scarab

    JamiiForums Tanzania Marvel Cinematic Universe special thread

    Most powerful weapons in mcu Infinity gauntlet,,hii ndio silaha hatar kuliko zote ndani ya mcu ,kwa kukadiria ilitengenezwa kati ya mwaka 2016_2017 thanos alienda nidavellir ,hii sayari ni ya dwarfs ikiongozwa na king dwarf eitri ,hii sayar ni ya mablack smith ,sas thanos alienda kwa eitri na...
  5. Scarab

    JamiiForums Tanzania Huu mti unaitwaje kwa kiswahili

    Mwembe pori
  6. Scarab

    JamiiForums Tanzania Marvel Cinematic Universe special thread

    Kiukweli ukitaka kuenjoy character wazur njoo dcu ila ukitaka kuenjoy universe bora njoo mcu
  7. Scarab

    JamiiForums Tanzania Marvel Cinematic Universe special thread

    Eye of sin,kama umechek movi ya shazam 2019 mule alipigana na monsters waitwao seven deadly sins hawa nguv zao zinahifadhiwa ktk artfact iitwayo eye of sins ambay shazam wizard aliifungia ili kuzidhibit nguvu za haw seven sins ,miaka 11000 iliopita black adam alipopewa nguv na shazam alizitumia...
  8. Scarab

    JamiiForums Tanzania Marekani huingiza 97bn kwa mwaka kupitia porn industry

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣
  9. Scarab

    JamiiForums Tanzania Mwezi wa Nne mchumba ananinyima unyumba wakuu nifanyaje?

    Ningekuw mim nanunua kahaba halaf nam Ningekuwa mim nanunua malaya halaf namgongea ninakolala nae ili nimchome moyo kidog
  10. Scarab

    JamiiForums Tanzania Marvel Cinematic Universe special thread

    Sorry simu ilikuwa nzito ivo nili restore ni white vision na sasa ni scarab okey lets go . Black lightining ,hii ni rad inayotumiwa na viumbe waitwao karnes...
  11. Scarab

    JamiiForums Tanzania Box Office battle: Avatar Vs Avengers

    Iko hivi tukio la avengers 2011 naweza sema ndio chanzo cha ultron coz,wale chitauries aliens walipoattack new york kuna wakati avengers walizidiwa then invansion ikawa inaingia mpak manhattan then us gvt wakaamuru new york ipigwe nyuklia nick fury akampa stark taarifa ,ikabidi stark alikamate...
Back
Top Bottom