Nakumbuka nilpokuwa morogoro kwenye machimbo huko mangae nilipata thahabu mwenzangu akakimbia nayo nusura niuwawe na wachimbaji akatokea mmoja wao akaniombea msamaha nilaachia balaa ilikuja siku nimegongwa na kipisi cha chuma mguuni niliugua mpaka najiarishia kwani pia nilikuwa na malaria...
Acheni tu yapite mana haya waliyapanga toka mwanzo kwani kura waliziesabu wenyewe hawakutaka shaidi. Na kama kweli hasira inakuja pole pole basi naona ya wa tanzania karibu itafika mahali pake.!wale walikufa kenya hawakupenda ila waliyataka ili adabu iwepo japo hayakuwa maamuzi mazuri. Kikubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.