Recent content by Sayaka

  1. Sayaka

    Hali ya mapato ya serikali yashuka, serikali haina pesa wananchi tujifunge mikanda

    Tujufunge Mkanda Mara ngapi wanataka hapa tu hali ngumu
  2. Sayaka

    Rais Magufuli azidi kuiandama mitandao ya kijamii

    Usinipangie cha kuongea au kuandika aisee Sent from my SM-T561 using JamiiForums mobile app
  3. Sayaka

    Upepo umeshageuka, Vyombo vyote vya habari si huru tena

    Hata mie nimeshangaaaa nikawaza labda muda umeenda
  4. Sayaka

    Hivi Mwanza nalo Jiji?

    Inaonekana we ni mtani tu wa wasukuma hapo naweza kukuelewa labda...
  5. Sayaka

    Kutoka Bahari Beach Hotel: Yaliyojiri katika Mapokezi ya Edward Lowassa kujiunga CHADEMA

    Nina Raha , jamani kadi sasa za kupigia kura sasa ndo habari ingine
  6. Sayaka

    NMB hakuna namna nyingine lazima mtuibie tu katika utengenezaji wa Visa Card

    Na Exim walifanya hiVyo wakakata 20,000 yaani lazima kwani tumewalazimisha mtupe hayo ma kadi yenu
  7. Sayaka

    Sikubaliani na hoja ya Lowassa Kujiengua CCM na Kujiunga CHADEMA/UKAWA

    Nenda huna ishu tumechoka na ccm kwanza kira yako moja haina ,aana watapatikana wa tano
  8. Sayaka

    Hili tangazo la Magodoro na Jini, walifikiria nini!?

    Hakuna jini zuri wewe , mashetani yooote na majoka tu hayo .
  9. Sayaka

    Hili tangazo la Magodoro na Jini, walifikiria nini!?

    Yaani uko sahihi lakini huwezi jua huko anako tambikia ndo kaamriwa hivyo , ni ushetani kabisa na inaonyesha kiasi gani bado watu wanaabudu mashetani ,dawa ni hakuna kununua tu. Huenda ndiko iliko madhabahu yake kwa hilo jini
  10. Sayaka

    MKASA: Nilimuua rafiki yangu mwaka 1990, ananitokea akinitaka nikatubu

    jafarikyaka Naomba namba zako nikusaidie cha kutenda , hakuna solution ya kwenda kutambika , njia sahihi ni Yesu tu...
  11. Sayaka

    Nchimbi, Jerry Silaa, Sophia Simba na Sadifa wajiandaa kukinukisha endapo Lowassa atakatwa

    Wamuache Lowasa azidi kung'aa tu , mbona wana ccm wenyewe mnavurugana . Lowasa si anatoka ccm mbona mpigane vikumbo
Back
Top Bottom