Gazeti la Lumumba labda linapiga lamri
Magogoni wanaota hivyo
Makondakta anawashwa na albadir iliyosomwa
Machemba ktk kufikiria kuwa vijana wake hawajatekeleza vyema basi anaamua kuhisi hivyo.
Masiro naye ktk kupagawa anajinyea huku akihisia hivyo.
Wewe kwanza nina mashaka na akili zako. Hivi jiji la Arusha linaongozwa na Gambo? Je hao watu uliowataja wanahusikaje na kupanga mipango na kuidhinisha shughuli za maendeleo za jiji? Je hao wanachama wa CHADEMA wamepokelewa ktk mkutano gani na kiongozi gani na ushahidi utuwekee hapa.
Mbona ccm haijamvua magufuli uanachama kwa kughushi PhD yake na matokeo yake tumebaki kushuhudia kina Ben Saanane wanapotezwa kisa wamehoji PhD ya magufuli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.