Recent content by Say no to actors

  1. S

    Msemaji wa Serikali kuongea na vyombo vya Habari saa 4 asubuhi MAELEZO Dar es salaam leo

    Anataka kukanusha kuwa Lissu hajapigwa lisasi? Au anataka kukanusha kuwa serikali haihusiki....
  2. S

    Mapya ya Lissu: Risasi moja iliingia kwenye ini

    Gazeti la Lumumba labda linapiga lamri Magogoni wanaota hivyo Makondakta anawashwa na albadir iliyosomwa Machemba ktk kufikiria kuwa vijana wake hawajatekeleza vyema basi anaamua kuhisi hivyo. Masiro naye ktk kupagawa anajinyea huku akihisia hivyo.
  3. S

    Askofu Stephen Munga: Usiogope Lissu! Tunaishi kama zawadi ili tupiganie haki za wanaoonewa

    Halloooo! Huyu dikteta atapata laana hata za kujinyea
  4. S

    Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi

    Taahira mkubwa wewe umetumwa na dikteta wenu kupoteza maboya.....wekeni bunduki chini tupingane kwa hoja.
  5. S

    Tundu Lissu: Am told, People at the top aren't thinking and acting rationally anymore...

    Mwenyezi mungu nakuomba umponye mpigania haki huyu ndugu Lissu ili tuungane naye ktk harakati za ukombozi wa watanzania.
  6. S

    Wanachama zaidi ya 860 wa CHADEMA wahamia CCM Arusha leo tarehe 02/09/2017

    Wewe kwanza nina mashaka na akili zako. Hivi jiji la Arusha linaongozwa na Gambo? Je hao watu uliowataja wanahusikaje na kupanga mipango na kuidhinisha shughuli za maendeleo za jiji? Je hao wanachama wa CHADEMA wamepokelewa ktk mkutano gani na kiongozi gani na ushahidi utuwekee hapa.
  7. S

    Wakenya Wanae James Orengo Watanzania Tunae Tundu Lissu !!

    Labda wewe na mamako ndo hamuoni umuhimu wa Tundu Lissu
  8. S

    Sakata la PhD Feki: Dkt. Makongoro Mahanga akamatwa kwa amri ya Mahakama Kuu, afikishwa kortini

    Mbona ccm haijamvua magufuli uanachama kwa kughushi PhD yake na matokeo yake tumebaki kushuhudia kina Ben Saanane wanapotezwa kisa wamehoji PhD ya magufuli.
  9. S

    Mkuu wa Mkoa wa Dar, azuia bomoabomoa bonde la Makamba Tuangoma, asema ameagizwa na Rais Magufuli

    Kakosa kiki sasa kaanza kuumbuka kwa kujifanya hakuwa ndani ya nchi pindi wanabomoa.
  10. S

    Ubunge jimbo la Arusha mjini wagombaniwa kama mpira wa kona

    Ccm ina diwani mmoja tu kwenye jimbo la Arusha mjini je huyo diwani unayemsema atakuwa na ubavu gani wa kupambana na mgombea wa chadema?
  11. S

    Ni aibu kumkashifu kiongozi wa nchi yako ukiwa umejificha ugenini

    Even you my friend you will be reasonable for your stupidity.
  12. S

    Ni aibu kumkashifu kiongozi wa nchi yako ukiwa umejificha ugenini

    Hivi ninyi vijana wa ccm mmeishiwa ufahamu kiasi hicho na kukalia kuwatia hofu wananchi wasijitokeze kumkosoa rais?
Back
Top Bottom