Kwahiyo kupinga yanayofanywa na upinzani maana yake ni kufanya makosa kwa asilimia 90.
the truth must be told even if it hurts period....aliongea ukweli kwenye katiba na kaongea ukweli kuhusu vyama vya upinzani...
tusiwe wa kuweka interests mbele....kwenye katiba ukawa mlimuona warioba lulu na leo mnamuona hafai hivyo hivyo baadhi ya wana ccm walimuona hafai leo wanamuona ni lulu....tujifunze kuheshimu mawazo ya wenzetu na hii ndo demokrasia na utawala bora....big up warioba kwa kutokuwa mnafki...the...
uwezo huo alikuwa nao nyerere tu...si unaona 2005 ilivyowawia ngumu kukata majina wakiwa na lengo la sas apite...mwishowe mwenye kuungwa mkono sana alipeta
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.