Recent content by sauti

  1. S

    GE2010 Roma kawafanyia nini wakazi wa Iringa?

    kuna wimbo wake ulishapigwa marufuku redioni unaitawa ''Hii ndio Tanzania''
  2. S

    GE2010 Uchaguzi wa Spika wa bunge la 10 la Tanzania

    kwa mujibu ya matokeo ya kura za uspika ,265-makinda, 53-marando, sasa imejidhihirisha wazi kuwa CUF, TLP, NCCR. Wana unga mkono CCM. Hii inaleta picha halisi ni nani anaye panda gari la mafisadi na nani anayepanda gari la wana mageuzi. Nadhani chadema haina haja ya kuwashirikisha CUF(ccm-2) n...
  3. S

    GE2010 Uchaguzi wa Spika wa bunge la 10 la Tanzania

    kwa mujibu ya matokeo ya kura za uspika ,265-makinda, 53-marando, sasa imejidhihirisha wazi kuwa CUF, TLP, NCCR. Wana unga mkono CCM. Hii inaleta picha halisi ni nani anaye panda gari la mafisadi na nani anayepanda gari la wana mageuzi. Nadhani chadema haina haja ya kuwashirikisha CUF(ccm-2) n...
  4. S

    Vifaa gani vinahitajika kutengeneza home studio?

    Mimi si prodyuza, lakini ninapenda sana mziki, na kujifunza kuproduce. Si kwa ajili ya biashara, nimesha anza kujifunza fruity loops 8.0, na nataka nianze kujifunza kinanda.
  5. S

    Vifaa gani vinahitajika kutengeneza home studio?

    wana jf, ningependa kujua vifaa muhimu, hardware na software, kwa ajili ya kutengeneza home music studio na Gharama za vifaa hivyo.
  6. S

    Hawa ndiyo wabunge wa viti Maalum CHADEMA, CCM na CUF

    mimi nimechoka na hawa watu wanao toa comments zisizo kuwa na misingi, eti udini, sijui umkoa, mara ukabila,! Toeni ushahidi. Kwa kifupi. CHADEMA NI NOOOMA. Mbona CCM hawajaweka majina ya sehemu walizo toka?. SASA SUBIRINI MOTO WA BUNGENI NDIPO MTAJUA CHADEMA NI CHAMA CHA KITAIFA!
  7. S

    GE2010 TUSIFURAHIE KIUINGIZA WABUNGE WENGI WA UPINZANI (tafakari)

    crap... Toka hapa na fikra mgando, tuondolee udini wako. Watu walio chagua ccm ni kwa sababu hizi, aidha wanafaidika hivyo kulinda maslahi hayo kwa njia chafu, au wenye fikra kipofu na mgando kama wewe, once again. Craaap!
  8. S

    GE2010 Mollel wa CHADEMA amtoa kamasi Lowassa

    hakikisha hizo namba, lowasa kashinda kwa asilimia kubwa sana.inaonekana Wa2 wake wanamkubali
  9. S

    Nimwonavyo Dr. Slaa (Maoni yangu)

    craaap.,
  10. S

    GE2010 Sasa Najiunga Na Chama Cha Siasa Rasmi

    nimependa quote ya plato, na ni ukweli kabisaa, nami nachukua kadi kabla ya mwaka huu kuisha!
Back
Top Bottom