kwa mujibu ya matokeo ya kura za uspika ,265-makinda, 53-marando, sasa imejidhihirisha wazi kuwa CUF, TLP, NCCR. Wana unga mkono CCM. Hii inaleta picha halisi ni nani anaye panda gari la mafisadi na nani anayepanda gari la wana mageuzi. Nadhani chadema haina haja ya kuwashirikisha CUF(ccm-2) n...
kwa mujibu ya matokeo ya kura za uspika ,265-makinda, 53-marando, sasa imejidhihirisha wazi kuwa CUF, TLP, NCCR. Wana unga mkono CCM. Hii inaleta picha halisi ni nani anaye panda gari la mafisadi na nani anayepanda gari la wana mageuzi. Nadhani chadema haina haja ya kuwashirikisha CUF(ccm-2) n...
Mimi si prodyuza, lakini ninapenda sana mziki, na kujifunza kuproduce. Si kwa ajili ya biashara, nimesha anza kujifunza fruity loops 8.0, na nataka nianze kujifunza kinanda.
mimi nimechoka na hawa watu wanao toa comments zisizo kuwa na misingi, eti udini, sijui umkoa, mara ukabila,! Toeni ushahidi. Kwa kifupi. CHADEMA NI NOOOMA. Mbona CCM hawajaweka majina ya sehemu walizo toka?. SASA SUBIRINI MOTO WA BUNGENI NDIPO MTAJUA CHADEMA NI CHAMA CHA KITAIFA!
crap... Toka hapa na fikra mgando, tuondolee udini wako. Watu walio chagua ccm ni kwa sababu hizi, aidha wanafaidika hivyo kulinda maslahi hayo kwa njia chafu, au wenye fikra kipofu na mgando kama wewe, once again. Craaap!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.