Recent content by SAUL BERENSON

  1. S

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi kuangusha uongozi wa BAKWATA?

    huyu mussa hana cha kutuambia sisi JF muulizeni shigongo anamjua vizuri sana huyu
  2. S

    JamiiForums Tanzania Muslim Hassanali awataka Waziri wa Mambo ya Ndani na wa Nje na Balozi wa USA wamshughulikie Mange Kimambi

    naomba list ya bodi ya wadhamini wa Bakwata na elimu zao. Hapo kwenye elimu tutajua tatizo liko wapi na wanatumia criteria ipi kuchagua viongozi wao
  3. S

    JamiiForums Tanzania Dili la suala Energy kununua Pan Africa Energy: Ikulu iache kiherehere

    Kwa hiyo mkuu wa nchi hawaamini watendaji na wizara zake au tuelewe vipi? kuna mdau katoa ushauri achukue wizara kama 5 hivi ziwe za kwake kisha avunje hao akina TPDC na wengineo
  4. S

    JamiiForums Tanzania Zanzibar ya Shein haina Ufisadi au CUF wamekuwa impotent?

    Duh umenipa jibu la kueleweka mkuu
  5. S

    JamiiForums Tanzania Siri ya viongozi walio chini ya Rais Magufuli kutoshirikisha waTanzania kuhusu Master Plan ya miji wa Dodoma

    WATU WANATAKA VITU VYA MAANA TUNAAMBIWA TUPANDE MITI
  6. S

    JamiiForums Tanzania Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

    sijaelewa kitu hapo
  7. S

    JamiiForums Tanzania Siri ya viongozi walio chini ya Rais Magufuli kutoshirikisha waTanzania kuhusu Master Plan ya miji wa Dodoma

    Halafu wewe ndio ulikuwa unataka upewe kile cheo kikubwa...
  8. S

    JamiiForums Tanzania Siri ya viongozi walio chini ya Rais Magufuli kutoshirikisha waTanzania kuhusu Master Plan ya miji wa Dodoma

    ABUJA.... lanned Location and Distribution of Institutional and Administrative Buildings (Source: The Master Plan for Abuja, IPA, page 89)
  9. S

    JamiiForums Tanzania Siri ya viongozi walio chini ya Rais Magufuli kutoshirikisha waTanzania kuhusu Master Plan ya miji wa Dodoma

    NYINYI NDIO ENEMIES OF PROGRESS MASTER PLAN YA ABUJA JHII HAPA: REVIEW OF THE FEDERAL CAPITAL TERRITORY MASTER PLAN
  10. S

    JamiiForums Tanzania Siri ya viongozi walio chini ya Rais Magufuli kutoshirikisha waTanzania kuhusu Master Plan ya miji wa Dodoma

    Civil Servants wetu bado wako kwenye karne ya 7 ni vigumu sana ku keep up na dunia tuliyonayo ambayo watawaliwa wanahoji mabo mbali mbali Sielewi why hawataki kabisa wananchi wajue plans za maendeleo na investment opportunities na incentives zinanzopatikana Naamini hii iko chini Waziri Mkuu...
  11. S

    JamiiForums Tanzania Siri ya viongozi walio chini ya Rais Magufuli kutoshirikisha waTanzania kuhusu Master Plan ya miji wa Dodoma

    Hivi kuna ubaya gani wakawa na blog au website ambayo itaonyesha Master plan ya huu mji na pia wakaweka wazi nini kitafanywa wapi na kwa nini hawajataka kufanya Public Consultation kwenye hili jambo ? Kufanya Capital City Planning ni vyema wadau mbali mbali wakahusishwa na kutoa maoni yao...
  12. S

    JamiiForums Tanzania Producer John Mahundi aoa mtoto wa Rais Mwinyi

    fafanua mkuu
Back
Top Bottom