Ivi jamani tuungane pamoja kumuombea rais wetu akumbuke watumishi wake walioomba kubadilisha vituo vya kazi maaana hali mbaya watu wameomba uhamisho toka mwka jana mpaka leo watafanyaje kazi
Mh. Simbachawene kwa mshikamano mkubwa na Mh kairuki wapeni watumishi wa umma walioomba uhamisho toka january mwaka huu.
Mbona mmewahakiki na wengi wao wanajihamisha wenyewe mnawabania nini hamuoni kama mnadhohofisha utendaji vituoni?
Fanyeni hivyo jamani hali kwa watu hawa ni ngum sana sasa...
Kwa serikali inayotaka ufanisi wa utendaji lazima iangalie na uhitaji wa watendaji wake.
Kwa mfano watumishi wameomba uhamisho wa bila malipo kwa kutokana na matatizo tofauti tofauti na walitegemea mwezi July wapate vibali wahame lakini mpaka leo kimya.
Je serikali inategemea hawa watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.