Kwa hili hakuna siasa mkuu, mimi mwenyewe nipo Loliondo na mh Ngorisa m/kiti wa halmashauri (ccm) akisaidiana na askari polis anayetambulika kwa jina moja la Ibra wa kituo cha polis Loliondo wanashikiliwa kwa ujangili uliotokea kwenye eneo la hifadhi la OBC (kwa mwarabu).
Mkuu mimba under normal circumstance haizidi wiki 37, japo kuna nyingine zinaenda mpaka wiki 40. Cha msingi ni kumuuliza kama mtoto anacheza. Pia ni vizuri akaenda sehemu/hospitali ambayo wanafanya ultrasound kwani ina uwezo wa kuestimate age ya mimba na pia siku ya kujifungua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.