Recent content by sartorius

  1. S

    Ultrasonographer

    Habari za wikiendi wana jf! niwape taarifa tu kuwa mtaalam wa ultrasound anapatikana kwa aliye tayari kufanya naye kazi! Kwa majadiliano zaidi niPM.
  2. S

    Mwenye kuhitaji Pharmacy

    Weka email mkuu tuwasiliane
  3. S

    Amani Golugwa (katibu wa CHADEMA mkoa wa Arusha) kumfukuza mkt wa Ngorongoro kesho

    Palapala, Leonard, Tito ndo tegemeo chadema ngorongoro hawawezi kuondolewa kirahisi namna unavyofikiri.
  4. S

    Mwadhamu Polycarp Pengo: Serikali mbili zinatosha

    Serikali moja ndio mpango mzima.
  5. S

    mwenyekiti wa Halmashauri ya Ngorongoro (CCM) akamatwa Kwa kosa la Ujangili

    Kwa hili hakuna siasa mkuu, mimi mwenyewe nipo Loliondo na mh Ngorisa m/kiti wa halmashauri (ccm) akisaidiana na askari polis anayetambulika kwa jina moja la Ibra wa kituo cha polis Loliondo wanashikiliwa kwa ujangili uliotokea kwenye eneo la hifadhi la OBC (kwa mwarabu).
  6. S

    Hawa Hawana Wivu wa Mapenzi Afrika Mashariki na Kati

    Wamasai pia hawajaachwa nyuma katika hilo.
  7. S

    Hodiii wana JF!.

    Karibu JF
  8. S

    introduction

    Karibu sana
  9. S

    knock knock!

    Karibu sana bibie naysha
  10. S

    Msiba wa sheikh nassor bachu

    Rip sheikh
  11. S

    Ushauri tafadhali....Siku za kujifungua zimepitiliza sana!

    Mkuu mimba under normal circumstance haizidi wiki 37, japo kuna nyingine zinaenda mpaka wiki 40. Cha msingi ni kumuuliza kama mtoto anacheza. Pia ni vizuri akaenda sehemu/hospitali ambayo wanafanya ultrasound kwani ina uwezo wa kuestimate age ya mimba na pia siku ya kujifungua.
  12. S

    Utamu wa ngoma, uingie ucheze.

    Ahsante sana mkuu watu8. Pamoja sana.
Back
Top Bottom