Nilisikia kuna mashetani wa kibinadam kama ilivyokawaida ya shetani anashughulika na mambo Tata akiacha lundo kuu la neema za Muumba zisizomithilika na huyu bwana ana hisa na mpinga Mungu. Najiuliza kwanini hoja ziwe kinzani tu!
Nadhani ukipinga jambo yakupasa kuwa na hoja vinginevyo tuache hizo hisia bila aidha kupinga au kuthibitisha japo tahadhari ni muhimu madam hakuna ukanusho wa hoja.
Unaposema wanaume wa Dar wanaporwa na Panya road kwani hao panya road si ni wa Dar USHUPAVU WA MWANAUME hauzingatii utokako tazama aitwaye Scorpion na yale yadaiwayo kuyafanya naye mwanaume wa Dar.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.