Recent content by Sarin

  1. S

    Tanzania: Elimu ya Shule za Msingi itakuwa ni miaka 10 badala ya 7 ya sasa

    Acha kuwa mtumwa wa lugha za watu wewe. China wanatumia lugha yao ktk elimu na wapo mbali sana. Kuna Urusi, Irani, Uturuki, Saudia, ujerumani, ufaransa, uingereza, Wote wanatumia lugha zao za asili kufundishia na wapo mbali sana kiugunduzi, kiutafti na kimaendeleo. Usipende kuwa mtumwa wa fikra...
  2. S

    TANZIA: Dr. Ferdinand Masau wa Tanzania Heart Institue afariki dunia

    Sikuelewi unaposema KIHIYO manaake nn, plz tufafanulie kidogo hlo neno. Halafu umesema amekufa kwa aids, hw sure u r?
  3. S

    TANZIA: Dr. Ferdinand Masau wa Tanzania Heart Institue afariki dunia

    Nimeipenda sana hii comment, laiti wa tz tungelikuwa na upendo wa kweli kwa Dr Masau, nadhani tungekuwa tulihamasishana kumchangia kulipa deni, Yamkini deni lingekuwa lishalipwa lote kwa michango tu. Mwenyezi MUNGU amweke pahala pema stahiki. Tufanye tawba kwaajili yake na tumwombee kila la...
  4. S

    Janga la njaa: UN yashauri watu wale wadudu

    Mi nakula senene, kumbikumbi, mchwa wakubwa na Kaa(ngadu). Wote ni watamu bt kaa nimekula enzi hzoo wakati nachunga mbuzi porini
  5. S

    Wa Tz Tutakufa Maskini Kwa Kimbilia Kuchimbia Pesa (Kujenga) Badala ya Kuizungusha Izae Zaidi

    Biashara mara nyingi inategemea eneo ulipo. 10m uki invest kwenye kilimo cha mpunga msimu mmoja una ukafanya forward intergration utapata faida ya 25m per year. So, location is extremely important in the world of business investment. Uki reinvest hiyo 25m plus ur original invested capital, msimu...
  6. S

    Rais Putin amuonya Netanyahu kukomesha mashambulizi katika ARDHI ya Syria

    Marekani na Israeli wamezidi ubabe, bora Vladimir Putin ameliona hilo. Ipo siku marekani atakiona cha mtema kuni kutoka kwa rusia na washirika wake
  7. S

    Fursa muhimu ya kujifunza ujasiriamali toka kwa wajasiriamali wasomi wa SUA walioenda Uturuki

    Napenda practical, sio porojo za theory, isijekuwa hyo semina wanayotoa ndio ujasiriamali wao, lol! Tunataka experience zao ktoka field
  8. S

    Tamko la Rais Kikwete juu ya Tukio la Arusha

    Nyie mlitaka rais atoe maneno gani ili mridhike?. Mlitaka aseme amewatuma yeye wauaji? Tatizo mmekuja na matamko yenu vchwan ndio maana mnaona rais hajatoa tamko
  9. S

    Mwanamke: Je, unatafuta mchumba? Fuata kanuni hii hakika utapata mchumba mwenye tabia uzitakazo

    Binafsi pia naona kama inakinzana kidogo na imani yangu ya dini kuwa MUNGU ndio mtoaji, hata hiyo universe imeumbwa na MUNGU. I thnk a gud concept is the power of positive thnking
  10. S

    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    Kweli wewe ni mwalimu, nimenufaika nawewe Kubota. Ubarikiwe sana
  11. S

    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    Kusema kweli jf ni zaidi ya chuo kikuu! Najifunza mengi humu ndani. Mbarikiwe nyote mnaotoa elimu bure!
  12. S

    Anataka awe nyumba ndogo yangu; nifanyeje?

    Upo sawa kwa asilimia 10000..... What goes around comes around. Huyu jamaa ndio shetani anayezui huyo mke kurudiana na mumewe. Hv karibun ndoa yako pia itaingia matatizoni
  13. S

    Huwa anatokwa na haja kubwa wakati wa mavituz

    Hilo ni tatizo la kiafya, google utaliona. It is very embarassing hasa kwake, i can feel her pain. Kuna wanawake wengi wana tatizo hilo, mara nyingi hutoa haja kubwa kidogo pale wanapofikia kileleni. Tumia busara ktk kulishughulikia, wengi watakuvnja moyo na kukukatisha tamaa coz hawana...
Back
Top Bottom