Angalau sasa hivi utakosa ajira ukiwa hujatumia gharama kubwa kuliko hapo awali ambapo ulkuwa unakosa ajira wakati umeshatumia gharama za kutosha
NB: connection itabaki pale pale, watapata ajira ambao hata interview hawajafanya
1. Ww ni utoto unakusumbua nasikitika akili yako bado changa ingawa una umri mkubwa
2. Kwa jinsi ulivyoandika in detail as if huyo jamaa hajui kitu kinaitwa jf kama jamaa yupo humu jf sijui itakuwaje
Mimi mwenyewe ndo nimeshangaa, haiingii akilini eti ukatwe elf tano Mia tano (5,500/=) alaf ulipiwe upasuaji kweli?? Inamaana kabla ya kujiunga hata hamkufikiria hilo??
Yaani itakuhitaji uchangie miezi isiyopungua 8 ndo ipatikane hela wanayokulipia wao siku moja? Hata kengele ya hatari haikulia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.