Mi naomba kueleweshwa hapa
250,000tsh ni sawa na 12,887.5ksh
Kwa Tanzania hiyo 250,000 ninaweza kupata LED TV inch 32, je mkenya akiwa na hiyo 12,887.5 anaweza kununua LED TV inch 32?
1.Kama jibu ni ndiyo inamaana hatuna tofauti
2. Kama jibu ni hapana inamaana tumewazidi
3. Kama jibu ni anaweza...
Binadamu tuna hulka ya kupenda vitu ambavyo havipatikani kwa urahisi, maisha yamekosa ladha kwasabab vitu vingi vinapatikana urahisi.
Zamani kunywa soda ni hadi sikukuu za Eid, Christmas nk ukinywa soda Yani utamu hadi unausikilizia..sasa hv kila muda wa chakula mtu anakunywa na soda hapo ladha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.