Recent content by Sanyambila

  1. Sanyambila

    Ushauri kwa Rais Samia kuhusu kurejesha amani nchini

    Huo ni USHAURI tu hoja haipigwi rungu
  2. Sanyambila

    Ushauri kwa Rais Samia kuhusu kurejesha amani nchini

    Habari ya majukumu ya kulijenga taifa wazalendo Mimi kama mwananchi wa Tanzania, niliyezoea taifa lenye umoja, mshikamano na utulivu nimepigwa na butwaa kilichotokea nchini kwetu. Kumekuwa na kauli nyingi na nyingine zenye mkanganyiko wa makusudi tu kutetea ama kujisitiri pasipo kujua nchi hii...
  3. Sanyambila

    Majina ya wapinzani yachomoza CCM, wapigania chama hoi2025

    Anakula shavu halafu Makamba anaachwa😂😂
  4. Sanyambila

    Majina ya wapinzani yachomoza CCM, wapigania chama hoi2025

    Salaam nyote, Baada ya subira ya ya vuta heri Sasa kunako jukwa la CHAMA Cha mapinduzi hakuko sawa baada ya WAPIGANIA CHAMA kuachwa Richa ya kushinda. 1. Kishoa , Baba Revo, Bulaya, n.k Wengi walioachwa wananung'unika kuwa tumekijenga CHAMA kwa jasho na machozi ,Fedha lakini watu wamevuka tu...
  5. Sanyambila

    Samahani mimi ni mgeni wa Siasa kwa upole na utaratibu bila kutumia matusi na kejeli naomba nieleweshwe kosa la mbunge wa Kawe na Askofu Gwajima

    Gwajiboy ni mbunge kupitia Siasa, pia walimraka WENYEWE kama unamkumbuka Rais Magufuli alisema NILETEENI GWAJIMA, Leo ndo mnasema ni mwana Siasa. Kweli hapo kuna double standard, mlimtaka nyie WENYEWE na mtamkoma.
  6. Sanyambila

    Mpaka sasa kuna Mtanzania atasema hawajui Watekaji?

    Nasikitishwa saana halo ya AMANI TANZANIA
  7. Sanyambila

    Yanga yamuuza Aziz Ki Kwa Bilion 1.8 kwenda Wydad Casablanca

    Kaondoka kama mchezaji huru yanga hawajapata chochote maana mkatba wake umeisha Mwezi huu Sasa wangemuuza vp bila mkataba?
  8. Sanyambila

    Mambo yote haya kayataka mo!

    Sawa!!! Ila game ni kwa Mkapa
  9. Sanyambila

    Naomba nieleweshwe, Chadema wanapata faida gani wasiposhiriki uchaguzi?

    Na wakishiriki wanapata faida gani wasipo shinda ??
  10. Sanyambila

    PreGE2025 Katibu Mkuu Mnyika nashauri CHADEMA iingie kwenye uchaguzi mkuu hata kama hamna Reform kwa mujibu wa Katiba ya nchi

    Kwani sa hizi wanaongoza na nani si wao tu bungeni wao tu, polisi wao, mahakama zao wenyeviti vitongijib a vijini ni waoo so huna hoja ni yaleyale
  11. Sanyambila

    PreGE2025 Lissu unatangaza Uasi kisha unakana Mahakamani ulikuwa unategemea vyombo vya Usalama vitakaa kimya?

    Huo ni mtego wa Sheria tu magangapaskalia@gmail.com kama offside kwenye football
  12. Sanyambila

    Uchambuzi wa Kisheria juu ya Hati ya Mashtaka ya Uhaini dhidi ya Tundu Lissu

    Kauli hizo ni zako wewe ila serikali imekuja na hoja ya uasi baaaaaassss
Back
Top Bottom