Recent content by Santana

  1. Santana

    Msaada tutani!!!

    Badala ya watu kupandisha zege juu na vindoo hii huwa mounted juu na ndo inatumika kama winchi ndogo inatoa zege chini kupeleka juu.
  2. Santana

    Msaada tutani!!!

    Yes, inatumika mara nyingi kwenye kumimina slab na ndo nahisi mwandishi anataka ya kazi hio
  3. Santana

    Hii nyumba inaweza kufikia gharama za ujenzi kiasi gani?

    Anza na ramani kwanza, tafuta mtaalamu akuandalie then peleka kwa Qs akupe estimate
  4. Santana

    Ramani ya nyumba

    Angalia dm yako Chief
  5. Santana

    Mbao za kuezekea

    Kama mfuko unaruhusu sogea pale Sao Hill wanakupa na waranty kabisa
  6. Santana

    Kwa mil. 20 naweza kujenga nyumba ya vyumba vitatu Dar?

    Kwa Dar kama kiwanja kiko tambarale 15m-18m unajenga na kupiga bati.
  7. Santana

    Naomba makadirio ya mjengo huu

    300m kwa dar
  8. Santana

    Mke wangu ghafla anaanza kuniita "Mkuu"

    Mi naitwa tapeli uku nilishazoea naona freshi tu
  9. Santana

    Hawa ndiyo wanawake wa kuoa sasa. Wanawake ambao hawajaathiriwa na feminists, wako wengi mikoani

    Sio kwa dada zangu wa kingoni ata uumkute katoka lituhi wana kiburi hatari
  10. Santana

    Nini kifanyike kuharakisha uokoaji Kariakoo

    Anachoongelea mtoa uzi ni kupunguza imposed load
  11. Santana

    Architect specialized in 3D Visualization, anahitajika...

    Boss nimekucheki inbox
  12. Santana

    Kijora ni vazi la aina gani na watu gani?

    Kijora chepesiiii dera zito
Back
Top Bottom