Recent content by santa diaba

  1. S

    Shule ya Bendel Memorial Moshi wanachapa sana watoto

    Evely my dear lets face facts here, kuna shule wanafunzi wanachapwa kuliko maelezo, na hizo shule kiburi chake ni kua zinafaulisha vizuri, mtoto wa dada angu kasoma Moshi Airport nahisi inauhusiamo wa karibu na hio bendel trust me alikua akirudi chozi linakutoka, and she is veery bright, mature...
  2. S

    Ukaribu wa Le Mutuz na watu maarufu

    Ohooo sory akili kubwa hapo iko wapi? Nimeuliza tu le mutuz ni jina lako? Ww ndo huwezi huu mjadala ndg, maana ulikua unaongelea fake ID,
  3. S

    Ukaribu wa Le Mutuz na watu maarufu

    Oh Lord, so simply because sm1 is not using his or her real name auto mawazo yake yanakua shallow?? Oops, and is LE MUTUS ur real name? Cuz handke yako IG inajina hilo
  4. S

    Ukaribu wa Le Mutuz na watu maarufu

    Unaamini kuna watu wengine wanapenda kubaki anonymous? And anaeza akawa na ID tofauti na jina lake ila hatukani? And amefikiria faida na hasara za kujiexpose mtandaoni, mf ww maisha yako unayaendesha kwa biashara ya mtandaoni so I guess ts fair kujiexpose, pima mtu anachoongea.. mf I personaly...
  5. S

    Ukaribu wa Le Mutuz na watu maarufu

    Whast ur problem with a person using "fake" ID ilhali hatukani, anaku question kwa hoja au anakuuliza maswali? EG i use santa diaba, inamaanisha broken angel, and ts not fake ila ina maana ktk maisha yangu, I guess t is high time ujitahidi kujibu hoja,
  6. S

    Tujuzane faida na hasara za friendship with benefit

    Friendship with benefit ni watu wanapoamua kua na uhusiano usio na hisia yaan ww na rafiki yako, mnakua commited ila kwenye kumegana kisela, wazungu wanasema no string attached
  7. S

    Tujuzane faida na hasara za friendship with benefit

    Wana jamvi, Kuna hiki kitabia ka FWB(Friendship With Bennefit) naona kazidi kuota mizizi, siku hizi imekua kama fassion ya marafiki wa jinsia tofauti kua na uhusiano wenye faida kimwili, sasa embu wenye ma uzoefu tupeane faida na hasara zake, mwisho wake unakuaje.
  8. S

    Unyama na ukatili wa Waarabu wa Oman kwa wafanyakazi weusi wa ndani ya nyumba (Housemaids)

    Nimekubali kua inaweza kua picha nanhabari ni vya kutunga, ila vike vile inaweza kua ni kweli.. na sijakataa kua unaweza kukuta mpare anamnyanyapaa mnyakyusa vyote nakubali.. ndo maana nilianza kukuuliza kua umeshawahi kusikia casez hizi? My point is kama kuna hilo tatizo lisibishiwe ila liwe...
  9. S

    Unyama na ukatili wa Waarabu wa Oman kwa wafanyakazi weusi wa ndani ya nyumba (Housemaids)

    Nina TATIZO la kutokuchanganya MADA siku kukiwa na uzi wa wadada wa ndani wanaoteswa na wabongo usijali nitachangia maana wapo wa kutosha... topic on the table ni wa uarabuni BTW mpaka u eniquote t seemz nimechangia ryt?
  10. S

    Unyama na ukatili wa Waarabu wa Oman kwa wafanyakazi weusi wa ndani ya nyumba (Housemaids)

    Abdul, swali ukiachana na case hii je umeshawahi kusikia casez mbali mbali za watu kuteseka UArabuni? Persinaly nimewahi kusikia nyingi kiasi, nimeona baadhi ya video ya yule mdada wa kikenya aliekua anachapwa na waarabu, huku katundikwa kama mfugo, nimeshawahi kusimuliwa na mtu kua mama ake...
  11. S

    Jokate amlipua Diamond

    Hahahaaaa OMG, huyo Diamond several times anaropoka tu, angalia interviews zake, and unfortunately hao wadada hawajibugi vibaya... na mjifunze kusoma basi we ndorobo, me sijasema kama kasema au hakusema
  12. S

    Jokate amlipua Diamond

    Natamani Diamond angetoka na mtu kama Diva au Faiza Allh... hahaa halafu waachane, angejuta maana anawaonea hao wasiojua kubwatuka
  13. S

    Maimartha wa Jesse kuchambwa na #teamWema

    Nimeona chief 😂😂 ila as much as team zote zinqnikera IG ila kuna watu acha tu vichambo viwahusu.. maana mtu unashindwa kujiheshim acha vitoto vya form two B vikuadhiri
  14. S

    Maimartha wa Jesse kuchambwa na #teamWema

    Mh hapo kama umeongezea chumvi chief.. hajatamka hiyo sentensi,
  15. S

    Maimartha wa Jesse kuchambwa na #teamWema

    Nakumbuka wakati nakua nikisikia neno MKE WA MTU auto akili yangu inaleta picha ya mwanamke mmoja anaejiheshimu, na ndo kweli ilikua hivi ila siku hizi sasa hao wake za watu(sio wote thou wengi) hawana tofauti sana na machangu au wale wanawake waliozibuka,,, hivi mtu mzima ulioelewa UNAANZAJE...
Back
Top Bottom