Habari za Majukumu ndugu Zangu....
Hapa naomba mnishauri njia za kufanya niweze kuachana nae na kumsahau kabisa huyu binti
Bila kupoteza muda nianze na kusema .,Kuna binti mmoja aliyekuwa Girlfriend wangu takribani mwaka sasa ,Lakini niliamua kuachana naye Baada ya kujua tabia zake ni chafu na...
Habarini za mchana ndugu zangu.,
Naomba kueleweshwa kwa mwenye kujua tofauti kati ya (Mac book Air na Mac book Pro)(apple) maana kunajamaa anataka tufanye biashara na mimi sijui ipi nzuri na inayoendana na wakati.Ahsanteni
Wakuu habari za mchana,
Naomba kueleweshwa kwa mwenye kujua tofauti kati ya Mac book Pro na Mac book Air (apple) maana kuna jamaa kaniambia anayo na mimi nahitaji mac book so sijui ipi nzuri maana nashindwa nimuulize ni ipi kati ya izo ni nzuri au inaendana na wakati.Ahsanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.