Mafanikio yapo na ni makubwa ila siku hizi kuna changamoto sana ya adslimit,hii ndo inawakwamisha watu wengi wa blog na app zenye matangazo ya google adsense/admob kupishana na pesa kwa siku hizi
Ila mara nyingi kama una traffic ya SEO huwezi ona hizo changamoto we utapiga pesa tu maisha yako yote.
Nini kinasababisha mpaka tanesco muwe na upungufu wa Nguzo kiasi kwamba mteja anacheleweshwa huduma ya kufungiwa umeme miezi kadhaa baada ya kulipa fedha yake na kukamilisha taratibu zote za kiofisi?
Hili tatizo lipo hasa tanesco mbagala.
Unatumia multiple ids unataka tukuprove vipi mzee,mods watakushughulikia tu very soon wao ndo wanaweza kuona devices zako unazotumia,email zako na taarifa zako nyingine na kureletisha juu ya hizi tuhuma,please mods fanyeni uchunguzi makini ikiwezekana muwasiliane na watu waliocoment juu ya swala...
Hutuhumiwi ujinga,thibitisha kwamba wewe sio mwenye hizo ids nilizozitaja hapo juu kisha ndo ukane haya nayoyasema.halafu kwani mm ndo wa kwanza kukuita ww ni mixed frank??,huoni kwamba watu wengi wanakutuhumu,why iwe wewe tu na sio mwingine.dhambi zako ulizofanya huko nyuma zinakutafuna kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.