Unaoitwa mwenge wa uhuru umekua adui yetu mkubwa. Garama za uendeshaji wa mbio za mwenge ni mchwa namba moja kwa kodi zetu. Mikesha ya mwenge inatawaliwa na ULEVI na NGONO:- Uenezaji mkubwa wa VVU.
Watu wa TCRA wapo kwa ajili ya kusimamia maslahi ya ccm kwenye chaguzi tu. Hayo mengine tunajisumbua. Kuna malalamiko mengi sana lkn sijawahi kusikia yakifanyiwa kazi isipokuwa juzi kwenye general election ndiyo niligundua kumbe TCRA wapo na wanafanya kazi!!!
Watengwa family, Nako 2 Nako, Prof J, Afande Sele kabla hajaanza kuvua nguo kwa jukwaa, Mwa Fa kabla hajaanza kuimba mipasho, hata mtoto wa sister ananiita uncle Sugu!
Kuna researches nyingi nimewahi kuzisoma zinaelezea hili la wanaume kuwahi kufa kabla ya wanawake, siyo tu kufa bali hata kuzeeka kimwili. Yaani utakuta mke & mme wamepishana miaka michache lkn ukiwatazama unaweza dhani mke ni 1st born wa mme!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.