Aanze na Siasa za Kikampeni sasa sio akomalie mabadiriko ya mfumo wa uchaguzi pekee, hilo ni eneo moja tu kwenye mengi yenye mapungufu makubwa.
1. Kuna issue ya Uchumi wetu kuwa mikononi mwa wageni. Anasemaje bila kukewa wawekezaji serious.
2. Tatizo la Ajira.
3. Mfumo wa Elimu.
4. Kilimo
5. n.k
Mwigulu ataonewa bure. huyo ni msomaji wa bajeti tu. hii nchi sasa hivi inaongozwa kwa maelekezo kutoka unguja. Yaani kama vile magufuli alivyowekeza chato ndivyo sinavyotafutwa pesa za kuwekeza unguja.
Hii lending model ya Mabank ya Jumla na Rejaleja ni porojo mkuu
Tena unakoaea kuihusisha na Finca, unapoint juu ya watu kutokuelewa hiyo Bank ya kilimo inavyofanya kazi, ila sio namna unavyoelezea.
kanistua msigwa
Anadai serikali inakopa commercial hata inalazimika kuanza kulipa kabla mradi haujakamilika
What a stupid finance strategy.
Hiyo mikopo ichunguzwe isijekuwa na ma commission kama ya kina Kitilya.
Watu aina ya msigwa ndio wanaopaswa kutuongoza watanzania ktk dhama hizi ambazo mataifa yanaweka nguvu kubwa kwenye ushindani wa kibiashara.
Kawachallenge kuhusu umeme
Anadai Tatizo letu sio upungufu wa umeme, umeme tunao wa kutosha, tatizo ni kuuhamisha kutoka uliko uende kwa watumiaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.