Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,243
Wacha moto uwake tuhizi cheche mnazo tema... angalieni mjengo usije waka moto...
Wacha moto uwake tuhizi cheche mnazo tema... angalieni mjengo usije waka moto...
Hakika! Na bado anadai "Siyo Mwana uchumi' na NONDO zote alizoshusha! ..... Ahongereke!Msigwa ni shujaa
HahahahahahaaaahNashindwa kuamua hadi leo Msigwa na Lissu nani ngefaa zaidi kuwa rais wa Tanzania
Taifa limekosa vipaumbele, limekosa mwelekeo Na uongozi bora
hahahahah mnafiki huyo akikutana nao hadharani ana sifia tuuu