Formula yake inatoa chakula bora cha kuku? Maana formula ikiwa haijakaa vizuri kuku huchelewa kutoka na kuishia kudumaa.
Sent from my iPhone using Tapatalk
Nilinunua umeme kupitia Mpesa na nikapata tokens lakini zinagoma, nimeakikisha number zote zipo sawa ila bado. Nikanunue mwingine na ukakubali. Nafanyaje kutatua tatizo hilo?
Hii ratiba ya ukataji umeme maeneo ya Tabata kwa siku mbili za week ratiba ya kwanza nadhani ilisema inaishia Tarehe 7&8 November...naona leo umeme umekatwa siku nzima na inasemekana pia kesho..inayoashiria ratiba ya siku mbili kwa week inaendelea?
Inabidi utoe maelezo yanayojitosheleza ili uweze kueleweka vizuri, vitu kama.;
1. Mahala pa biashara/ufugaji (mabanda yapo? Ya kwako au unahitaji aliyenayo au ndio ujenzi inabidi uwe ndani ya makubaliano)
2. Mtaji
3. Aina ya mkataba( unahitaji mtu wa kuajiri kufanya nae kazi au partner katika...
Point yangu ni kuwa nimesoma masharti ya bonus account nikawa najiuliza kama ni ki-apply for bonus hiyo 30$ inawekwa kwenye hiyo UniversalFX account au napewa separate logins.? Maana kama itakuwa imeonganishwa na hiyo UniversalFX then masharti nayo yanakuwa applicable?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.