Recent content by Sanchez

  1. S

    Haya si matumizi ya mali za serikali kwa manufaa ya chama?

    Nashukuru kwakuwa unazidi kutuonyesha ulivyo naakili kama kuku na ndivyo walivyo viongozi wa serikali hii kama kina wasira na mawaziri wenzake na bosi wao pamoja na hao wabunge mnaowapigia debe kuwafuta machozi. Kweli tanzania yetu imekwisha chini ya uongozi wa chama tawala ccm maana wote ni...
  2. S

    Kwanini mawaziri wasimame kama mawaziri kampeni za CCM?

    Hilo ndiyo tatizo lenu nyie mabwege, mnaona jinsi serikali inavyokandamiza wananchi wake sababu ya siasa ambazo kiutashi ukishakuwa madarakani huduma kwa wananchi wote ni jukumu lako wewe serikali.sasa iweje ukandamize wananchi eti kisa jimbo lao limechukuliwa na upinzani? The day will come and...
  3. S

    Kwa mtindo huu tuna safari ndefu sana kwenye elimu

    Mimi nilikutana na mwanafunzi wa form 3 shule moja handeni Tanga, kwenye maojiano nae aliniambia shule yao ina walimu 2 tu.sasa hapo tunategemea kupata nini baadae kama siyo malaya na majambazi?Tafakari...............chukua hatua.
  4. S

    Hivi Wabunge wa Bunge la Tanzania wako kwa maslahi ya nani? hebu ona hiii........

    WASOMI na Wanaharakati wameponda kauli ya Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai kulinganisha posho za wabunge na majaji pamoja na wanataaluma wengine serikalini wakisema 'ni kauli ya mchumia tumbo.'Wakizungumza kwa nyakati tofauti jana walisema mbunge hawezi kulinganishwa na mtu aliyesotea taaluma ya...
  5. S

    Hamadi Rashid afunguka; adai Mtatiro, hajarejesha 'chenji' ya helikopta!

    mimi sishangai kwa malumbano hayo ya kitoto, wanajaribu kuhamisha attention ya wananchi kutoka kwenye mambo ya msingi kama Katiba mpya,posho za wabunge, matumizi mabovu ya fedha kwenye miaka hamsini ya umasikini wa Tanzania, ufisadi wa rasilimali za nchi na matumizi tarajiwa ya fedha za rada n.k...
  6. S

    Zitto Kabwe aomba Bunge lisimamishe shughuli zote juu ya Jairo!

    Kama Series ya 24. mtuhumiwa anakamatwa kabla hajatoa info anakufa so inabidi waanze kutafuta mwingine.Hizo millioni 500 zilizochangishwa (wanazoziita chache) ni za nini wakati wamesema ewura wamegarimia malazi na chakula na natumaini pia hizo garama zilishakuwapo kwenye badget yao...
  7. S

    Kikwete aambiwa abebe mizigo yake!

    Kwani nani kakuambia alipata urais kwa kura nyingi!Usalama wa taifa ndiyo walio muweka madarakani na siyo kura za wananchi.stupid
  8. S

    Ufisadi huu mpaka lini?

    Wadau kwanini tusiamue jambo moja kama jamii moja na taifa moja.tuprotest watu hawa watoke madarakani kwa nguvu yetu sisi(wananchi) na wachunguzwe na kufikishwa mahakamani? Mimi binafsi nimechoka na niko tayari kwa lolote.najua ugumu wa maisha individualy serikali haiwezi kusaidia ila kwa...
  9. S

    Hawa ndio wafanyabiashara wa mafuta nchini wakivutana na Serikali juu ya bei mpya !

    Acha ufala wewe, pamoja na viongozi wetu kuwa walegevu lakini hao wafanyabiashara hawana uzalendo na nchi hii hata kidogo.
  10. S

    Wakili Mwale Anyimwa Dhamana

    Kama ni money Laundering, ni kesi kubwa sana.wanaweza wamhusisha na vikundi vya ugaidi.itabidi mawakili wake waumize vichwa sana kumchomoa. On matters of style swim with the current, On matters of principles stand like a rock" Thomas Jefferson
Back
Top Bottom