Mchaka Mchaka
JF-Expert Member
- Jul 20, 2010
- 4,516
- 1,404
CORRECTION -Saed Kubenea, Mwanahalisihata sued kubenea wa mwanaharisi kamwe hawezi andika mabaya ya mengi na mwakyembe.
CORRECTION -Saed Kubenea, Mwanahalisihata sued kubenea wa mwanaharisi kamwe hawezi andika mabaya ya mengi na mwakyembe.
Kwanini?hata sued kubenea wa mwanaharisi kamwe hawezi andika mabaya ya mengi na mwakyembe.
Wakishamaliza mmoja atakimbilia CDM! CDM ndio makimbilio ya makapi yote ya kisiasa!Wacha waendelea kuingiziana vidole usoni
Since uchaguzi wa Igunga Mtatiro hajawai kutia pua humu JF tena, siasa za maji ya chooni zinawagharimu CUF.
Hiv prof safari ni prof by professional? Au ni kama Prof Maji marefu au Dr.Mtitu? Au Ni Prof wa kiswahili?
Hamadi Rashidi akiwa anafunguka kupitia kipindi cha Baragumu cha chanel 10 anamesema kuna maswala ya msingi ya kuhoji kwenye chama, sio kuhoji haki ya mtu kutangaza nia.
"Mambo ya msingi ni kuhoji kwa nini chama kinapoteza mvuto, mtatiro alikodi helkopta change hajarudisha, ukihoji haya unaonekana una matatizo"
mtatiro rudisha change ya helkopta.
Hiv prof safari ni prof by professional? Au ni kama Prof Maji marefu au Dr.Mtitu? Au Ni Prof wa kiswahili?
Kwani pesa ya helikopta ilikuwa ya CUF? Si ilitolewa na mbunge aliyejiuzuru? So Mtatiro alitakiwa arudishe chenji wapi: kwa CUF ama kwa mbunge mjiuzuru?
Yeye kamuona JUJU tu?mweh huyu naona hapendi juju awe hapo alipo yaani naibu katibu
Kweli lakini kumbuka na pemba kua aina tatu ya wapemba'Tanganyika is good bana!!! mbona haendi kusema hayo huko pemba?????
Thanks for your love of beloved Tanzania.mimi sishangai kwa malumbano hayo ya kitoto, wanajaribu kuhamisha attention ya wananchi kutoka kwenye mambo ya msingi kama Katiba mpya,posho za wabunge, matumizi mabovu ya fedha kwenye miaka hamsini ya umasikini wa Tanzania, ufisadi wa rasilimali za nchi na matumizi tarajiwa ya fedha za rada n.k
CUF wanafunua kwa wananchi nini hasa maana ya ndoa yao na CCM.
badala ya kukaa chini na kujadili zaidi ya billioni 64 zilizotumika kwenye maadhimisho ya 50 yrs of poverty bila msingi wowote huku walimu wakilia mishahara na madeni yao na wazee wa africa mashariki wakilia pensheni zao na wanafunzi wa chuo kukataliwa kudhaminiwa billion 3 eti serikali haina fedha, hospitali zinakosa dawa,vifaaa na vitanda ukiacha wodi chakavu na mishahara mibovu ya madaktari, wanafunzi mfano pale handeni Tanga, shule ina walimu wawili na hakuna madawati na wanatahiniwa na matarajio wafaulu(wanavuna majambazi na malaya wa baadae wao wakiwa marehemu ama wamestahafu na kujichokea kazi kwetu vijana wa leo).
Yako mengi sana ambayo yangewezwa kufanyika kwa 64 billion.
Mtatiro, Tulikaa wote sinza ukiwa unaomba kura pale kwa remmy na ulizungumza mengi kumbe ilikuwa ni Pumba tuuu!shame on you bro. Mtu kutangaza nia ni haki yake ya msingi.ZUNGUMZA HOJA ZA KULIONDOA TAIFA KWENYE UMASIKINI WA KUTUPA.
Hiv prof safari ni prof by professional? Au ni kama Prof Maji marefu au Dr.Mtitu? Au Ni Prof wa kiswahili?