Haya si matumizi ya mali za serikali kwa manufaa ya chama?

sikufahamu lakini nimekutambua kama hukuachia shule darasa la tatu basi una ugonjwa mbaya sana.
 
Ni kweli kwamba wimbo wa Taifa ni mali ya watanzania lakini mbona hujasema kwa upande wa vyama vya siasa, je vinaruhusiwa kutumia? Kwa upande wangu ninatambua kuwa wimbo wa taifa ni moja ya alama za kitafa (National symbols) zingine zikiwa ni Nembo (Court of arms) na Bendera (National flag). Kama ambavyo huwezi kuona bendera ya taifa ikipepea katika ofisi za vyama vya siasa hasa ambavyo havijaunda serikali ndiyo inavyotakiwa kuwa hata kwa wimbo wa taifa.

Ungeanza na yule anayevizia wake za watu -na bendera yetu shingoni
 
wanachofanya cdm ni kuonyesha uzalendo kwa nchi yao, wako katika kudumisha amani, heshima na upendo, na kumuomba Mungu aibariki nchi yetu na afrika kama wimbo usemavyo, hata ccm wanaweza kuutumia tu, kinachowakwaza ni kwamba wako kinyume kabisa na maudhui ya wimbo wenyewe
 
Nashukuru kwakuwa unazidi kutuonyesha ulivyo naakili kama kuku na ndivyo walivyo viongozi wa serikali hii kama kina wasira na mawaziri wenzake na bosi wao pamoja na hao wabunge mnaowapigia debe kuwafuta machozi. Kweli tanzania yetu imekwisha chini ya uongozi wa chama tawala ccm maana wote ni mabogus tuuu. Wewe mama yako alikufundisha wimbo wa taifa ni kwaajili ya kifo na bosi wako akuhutubia ehhh!nenda kamuulize tena masaburi wewe..............na chama chako......
nimefuatilia kwa karibu sana tangazo linalorushwa na redio clouds linalowahamasisha wapenzi wa chadema kukichangia chama hicho nami nikiwa miongoni mwa wakereketwa wa kuchangia chama hiki ambacho kinaonekana kuja juu sana katika medani ya kisiasa. Lakini kilichonishangaza kipande cha wimbo wa taifa ndani ya tangazo hili.

Je ni sahihi chama cha siasa kutumia wimbo wa taifa kujitangaza wakati wimbo wa taifa ni chombo cha mali serikali na kwa maana hiyo ni mali ya vyama vyote vya siasa? Haya si matumizi ya mali za serikali kwa ajili chama kujipatia umaarufu?

Watanzania tunajua na tumezoea kuusikia wimbo wa taifa wkati kiongozi mkuu wa nchi akihutubia, wakati kuna sherehe za kitaifa, wakati kuna taarifa mbaya inatolewa na mkuu wa nchi kama ilivyokuwa wakati tunaarifiwa kifo cha baba wa taifa na vile vile wakati nchi inatangaziwa hali ya hatari kama vita n.k

iweje leo wimbo wa taifa uchezewe na vyama vya siasa kujitafutia umaarufu tena kwa kuwahadaa wananchi kuwa wananchangisha pesa za kuendeleza chama wakati pesa hizo zinapotelea kwenye matumbo ya wachache.
 
Masikini mtoa mada, nilipoisoma tu thread yako nikaanza kukuonea huruma. Shule uliyosomea ilikuwa na walimu wangapi? Ni wale wa voda fasta ama? Pitia pitia basi kule kwenye sekondari za two in one.
 
Nimefuatilia kwa karibu sana Tangazo linalorushwa na REDIO CLOUDS linalowahamasisha wapenzi wa CHADEMA kukichangia chama hicho nami nikiwa miongoni mwa wakereketwa wa kuchangia chama hiki ambacho kinaonekana kuja juu sana katika medani ya kisiasa. Lakini kilichonishangaza Kipande cha wimbo wa Taifa ndani ya tangazo hili.

Je ni sahihi chama cha siasa kutumia wimbo wa Taifa kujitangaza wakati wimbo wa Taifa ni chombo cha mali serikali na kwa maana hiyo ni mali ya vyama vyote vya siasa? Haya si matumizi ya mali za serikali kwa ajili chama kujipatia umaarufu?

Watanzania tunajua na tumezoea kuusikia wimbo wa Taifa Wkati Kiongozi mkuu wa Nchi akihutubia, wakati kuna sherehe za kitaifa, wakati kuna taarifa mbaya inatolewa na Mkuu wa nchi kama ilivyokuwa wakati tunaarifiwa kifo cha baba wa Taifa na vile vile wakati nchi inatangaziwa hali ya hatari kama vita n.k

Iweje leo wimbo wa Taifa uchezewe na vyama vya siasa kujitafutia umaarufu tena kwa kuwahadaa wananchi kuwa wananchangisha pesa za kuendeleza chama wakati pesa hizo zinapotelea kwenye matumbo ya wachache.

Mtasema sana lakini tarehe 1/4/2012 mtavuna mlichopanda kwa Watanzania mnaofikiri mtawadanganya milele.
 
Nimefuatilia kwa karibu sana Tangazo linalorushwa na REDIO CLOUDS linalowahamasisha wapenzi wa CHADEMA kukichangia chama hicho nami nikiwa miongoni mwa wakereketwa wa kuchangia chama hiki ambacho kinaonekana kuja juu sana katika medani ya kisiasa. Lakini kilichonishangaza Kipande cha wimbo wa Taifa ndani ya tangazo hili.

Je ni sahihi chama cha siasa kutumia wimbo wa Taifa kujitangaza wakati wimbo wa Taifa ni chombo cha mali serikali na kwa maana hiyo ni mali ya vyama vyote vya siasa? Haya si matumizi ya mali za serikali kwa ajili chama kujipatia umaarufu?

Watanzania tunajua na tumezoea kuusikia wimbo wa Taifa Wkati Kiongozi mkuu wa Nchi akihutubia, wakati kuna sherehe za kitaifa, wakati kuna taarifa mbaya inatolewa na Mkuu wa nchi kama ilivyokuwa wakati tunaarifiwa kifo cha baba wa Taifa na vile vile wakati nchi inatangaziwa hali ya hatari kama vita n.k

Iweje leo wimbo wa Taifa uchezewe na vyama vya siasa kujitafutia umaarufu tena kwa kuwahadaa wananchi kuwa wananchangisha pesa za kuendeleza chama wakati pesa hizo zinapotelea kwenye matumbo ya wachache.

Nilipoona heading ya thread nikavutiwa kuwa huenda thread hii inataka kuweka ukweli kuhusu utumiaji mmbaya wa mali ya umma kama, magari, fedha, polisi, TBC1, Tume ya uchaguzi unaofanywa na CCM kwa manufaa yake. Niliposoma na kuona vinginevyo nikataka kuacha kuchangia ila nilipo-bold kumenifanya nichangie walau inaweza kusaidia wenye uelewa finyu wa aina ya thread hii kuwa na uelewa mkubwa zaidi.

  1. Wimbo wa Taifa ni moja ya alama za Taifa, na Taifa maana yake ni Tanzania. Hivyo basi wimbo wa Taifa ni moja kati ya vitu muhimu sana vya kujivunia utanzania wetu.
  2. What is Government?. Government refers to the Legislators, Administrators and Arbitrators (Justice) in the administrative bureaucracy who control a state at a given time, and to the system of government by which they are organized. Government is the means by which state policy is enforced, as well as the mechanism for determining the policy of the state.

Sasa(thatha) basi alama ya Taifa inaingia vipi hapa kuwa mali serikali?, Serikali ni Bunge, Rais na mahakama. Hizi ni branch ambazo zinatumika katika kutunga na kutekeleza sera. Sasa (thatha) inakuwaje liwe kosa kwa mwananchi kutumia alama za Taifa lake?, Je tunapoona watu wanavaa nguo za bendera ya Taifa n.k hao nao utasemaje?. Mawazo haya ndiyo yanatufanya mpaka tuwe nyuma kimaendeleo na baadhi ya watu kujiona wao wana haki zaidi ya wengine katika nchi hii.

hakuna kosa hata kidogo kutumia alama ya Taifa provided si katika negativity na hatred kwa Taifa.

Kuhusu kuusikia wimbo wa Taifa mbona umesahau na kwenye michezo?, Taifa stars v Brasil etc. rephrase your threads labla utaeleweka vizuri may be una point.
 
Tuacheni ushabiki wa kisiasa; kwa kuzingatia elimu tulonazo matumizi ya wimbo wa Taifa sina shaka kila mmoja anayafaham; sidan kama chama binafsi kinaruhusiwa kutumia wimbo wa Taifa kwa sababu zao tofauti si CCM wala CDM labda uwe ni utaratibu mpya na kama ndivyo basi tunakoelekea tutaanza kuutumia hadi kwenye kumbi za starehe na kama haitoshi ataibuka mtu atataka aufanyie remix na kuachia single yake; na mwingine (Njeree) ataibuka na bendera ya taifa ajifunge rubega akate kitaa la hasha tunapotoka"

hapa tunaongelea kutumia wimbo wa taifa sio kuuchakachua,
wimbo wa taifa ni mali ya watanzania hata katiba imeruhusu kila mtanzania kutumia mali za nchi sasa nini tatizo la vyama vya upinzania kutumia wimbohuu?kama imeandikwa sehemu wasitume hilo nalo ni kosa. vyama vya upinzani huwakilisha wananchi waaminio sera hizo hivyo unawazungumzia watanzania hapa.mbona wanavyuo wagomapo hutumia wimbo huo na wala hawaulizwi na hawashitakiwi?pale mtu/watu/kikundi kinapoona kuwa hapa wanataka kuonesha utanzania na wakijisikiahii ni kwa manufaa ya taifa huutumia wimbo wa taifa.
wacheza mpira huutumia wimbo wa taifa kuna ubaya kwa wanasiasa au vyama vya upinzani? huu ni ubinasfi kama waonavyo magamba ni haki yao kutumia mali zingine za taifa wao peke yao.
hata mimi leo nikijisikia kupiga wimbo wa taifa nyumbani kwangu sitakamatwa napolisi ila nikiutukana na kuudhalilisha wimbo wa taifa kwa namna yoyote itakayowakera watanzania wenzangu basi nitashitakiwa kwa mujibu wa sheria.
wamarekani wanasiasa wafanyapo kampeni hubandika bendera za taila lao kila konakwa sababu wanataka kuonesha uzalendo.
 
Back
Top Bottom