Jumanne Mkota
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,917
- 1,660
waheshimiwa wana JF.
kwa heshima kabisa nashuka hapa jukwaani nikiamini kuwa wote mliopo humu ni the greatest thinkers na JF ni Greatest thinker tank. Baada ya matokea ya Darasa la saba 2011 na ya kidato cha nne 2011 kutoka ni wazi kuwa tuna debate kubwa kuhusu kufeli kwa watoto wetu na wadogo zetu.
sasa naomba nikupeni kituko ambacho si kuwa kinasikitisha tu bali ni janga kuu tunalotengeneza kwa siku za usoni ingawa tayari limeshaanza kujitokeza kwa moshi ambao umeanza kufukuta dhidi ya ajira kwa vijana wengi na pia kupuuzwa kwa watumishi/wataalam wazalendo na viongozi wetu (mgomo wa madaktari kama mfano mmoja)
baada tu ya matokeo ya darasa la saba kutangazwa Waziri wa Elimu Bw. Philipo mulugo alisema kuwa wale wote wanaotajwa kuwa wamefaulu wata face qualifying exam ili kujua ukweli kuwa wamefaulu au wamefaulishwa. Mtihani ulifanyika nadhani kati tarehe 16 january na february 10, 2012
matokeo kwa baadhi ya shule za hapa Mwanga mkoa wa kilimanjaro ambayo imefutiwa matokeo ya watoto wa STD VII 350 ni kama ifuatavyo kwa shule ambazo nipo karibu nazo ingawa hali ni mbaya
1. Vudoi Secondary kati ya watoto 180 wa kidato cha kwanza watoto 28 walibainika hawajui kusoma na kuandika!
2. Kifaru idadi hiyo hiyo waliobainika kutojua kusoma 16!
Naendelea kukusanya matokeo ya shule nyingine nitawajulisha.
Lakini Mkuu wa Wilaya Athumani Hassani Mdoe Taarishi namba moja. anawapongeza walimu wa S/M zote za wilaya kwa ufaulu bila kuangalia tatizo la hao waliofaulu na hawajui kusoma na kuandika!
Imagine shule za kata No Walimu, No Maabara,No mazingira mazuri ya mtoto kusoma na mwalimu kufundisha, tunaumba object gani kwenye hili
Tazama barua ya Mkuu wa Wilaya ya kuwapongeza eti wandelee kwa nguvu na kasi zaidi ya kufyatua mambumbu wao wako nyuma yao
nawasilisha kwa maoni zaidi ambaye wilaya yake ina ujinga huu atuwekee hapa.
kwa heshima kabisa nashuka hapa jukwaani nikiamini kuwa wote mliopo humu ni the greatest thinkers na JF ni Greatest thinker tank. Baada ya matokea ya Darasa la saba 2011 na ya kidato cha nne 2011 kutoka ni wazi kuwa tuna debate kubwa kuhusu kufeli kwa watoto wetu na wadogo zetu.
sasa naomba nikupeni kituko ambacho si kuwa kinasikitisha tu bali ni janga kuu tunalotengeneza kwa siku za usoni ingawa tayari limeshaanza kujitokeza kwa moshi ambao umeanza kufukuta dhidi ya ajira kwa vijana wengi na pia kupuuzwa kwa watumishi/wataalam wazalendo na viongozi wetu (mgomo wa madaktari kama mfano mmoja)
baada tu ya matokeo ya darasa la saba kutangazwa Waziri wa Elimu Bw. Philipo mulugo alisema kuwa wale wote wanaotajwa kuwa wamefaulu wata face qualifying exam ili kujua ukweli kuwa wamefaulu au wamefaulishwa. Mtihani ulifanyika nadhani kati tarehe 16 january na february 10, 2012
matokeo kwa baadhi ya shule za hapa Mwanga mkoa wa kilimanjaro ambayo imefutiwa matokeo ya watoto wa STD VII 350 ni kama ifuatavyo kwa shule ambazo nipo karibu nazo ingawa hali ni mbaya
1. Vudoi Secondary kati ya watoto 180 wa kidato cha kwanza watoto 28 walibainika hawajui kusoma na kuandika!
2. Kifaru idadi hiyo hiyo waliobainika kutojua kusoma 16!
Naendelea kukusanya matokeo ya shule nyingine nitawajulisha.
Lakini Mkuu wa Wilaya Athumani Hassani Mdoe Taarishi namba moja. anawapongeza walimu wa S/M zote za wilaya kwa ufaulu bila kuangalia tatizo la hao waliofaulu na hawajui kusoma na kuandika!
Imagine shule za kata No Walimu, No Maabara,No mazingira mazuri ya mtoto kusoma na mwalimu kufundisha, tunaumba object gani kwenye hili
Tazama barua ya Mkuu wa Wilaya ya kuwapongeza eti wandelee kwa nguvu na kasi zaidi ya kufyatua mambumbu wao wako nyuma yao
nawasilisha kwa maoni zaidi ambaye wilaya yake ina ujinga huu atuwekee hapa.