Recent content by samuelcc

  1. samuelcc

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    automata Sent using Jamii Forums mobile app
  2. samuelcc

    Nataka kuacha kula ugali wa shikamoo nishaurini wandugu

    we zaana tu utaipata fresh kwenye kulea siku mtoto apatwe na homa usiku halafu huna hela utajuta utatamani abadilike awe ujauzito
  3. samuelcc

    Hatimaye JWTZ yaingia Kibiti, Ikwiriri na Mkuranga kudhibiti na kutafuta wauaji wa Polisi na RAIA

    Ukisha sikia tu platoon songa mbeleee halafu hujui maana yake kimbia haraka ukalale hao wapuuzi leo wataipata
  4. samuelcc

    Mkuu wa Majeshi na Ulinzi (JWTZ) kwenda Wilaya ya Kibiti Leo

    Inanikumbusha mambo ya vietcong pale vietnam mchana raia usiku ni makomando wanaingia msituni kupambana mchana ukifanyika msako msituni hawakuti mtu ilipelekea jeshi la marekani kuangamiza baadhi ya vijiji yaani kijiji kizima burnt to ashes hii ishu inahitaji akili nyingi
  5. samuelcc

    Nafasi 50 za kazi ya muda mfupi

    Hata mimi pia nilituma maombi kwako mkuu
  6. samuelcc

    Siwachongei TFDA lakini ni kweli Mchele wa Plastic upo na unauzwa

    wasiwasi sio akili ila hupelekea kupatikana kwa akili baada ya utafiti
Back
Top Bottom