Siwachongei TFDA lakini ni kweli Mchele wa Plastic upo na unauzwa

Aisee ndugu samahani
Unajua bei ya raw material ya plastic? Na mashine ya molding au extruder ? Na kuziendesha hizo mashine ?

Bei ya huo mchele utakua ni mara 2 au 3 ya bei ya mchele wa kawaida.
Wanataka kutuletea yaleyale ya babu wa Loliondo! Ili twende kwenye mchele wa plastic tusahau makinikia sijui makinimikia!!?
 
Rais Magufuli TFDA tuliilalamikia sana hii taasisi toka miaka 10 iliyopita lakini nothing has been done. Hawa watu inabidi watumbuliwe tena haraka sana, ni wapuuzi mno.....wameweka tamaa mbele badala ya kulinda maslahi ya nchi. Kuna vitu vingi sana visivyostahili kuwepo hapa nchini hawa jamaa wanaruhusu kuingia baada ya kupokea kitu kidogo.
 
Utashi wa kufatilia mambo wabongo huwa hawana ila kwa hulisia hakuna digestion ya plastic kwa mnyama yeyote na kuhusu clip mbona ni ya zaman sana nimeiona 2016 so leo hii ndo wanaiona kwnye magroup upuuzi mtupu.
umewahi kuona kabechi(kabichi) zilizo tengenezwa kwa mikono ya mwanadamu na zinalika tu vizuri ila ukichukua jani lake na kulichoma linageuka kuwa kama kitambaa fulani?
 
Utashi wa kufatilia mambo wabongo huwa hawana ila kwa hulisia hakuna digestion ya plastic kwa mnyama yeyote na kuhusu clip mbona ni ya zaman sana nimeiona 2016 so leo hii ndo wanaiona kwnye magroup upuuzi mtupu.


 
Kwa akili zangu timamu kama mwanamke mpishi siamini kama kuna mchele wa plastic,
Kwa sababu Plastic ikikutana na moto inayeyuka
Inakuaje huo mchele wa plastic usiyeyuke wakati unapikwa??
Pia unawezaje mwanaadamu ukatafuna plastic mpaka ikasagika ukameza?!
 
Kwa akili zangu timamu kama mwanamke mpishi siamini kama kuna mchele wa plastic,
Kwa sababu Plastic ikikutana na moto inayeyuka
Inakuaje huo mchele wa plastic usiyeyuke wakati unapikwa??
Pia unawezaje mwanaadamu ukatafuna plastic mpaka ikasagika ukameza?!
Huwezi kuizungumzia sayansi kwa akili timamu na issue za kuamini tu!Sayansi ni kanuni zinazohitaji akili ya ziada kuzizungumzia na siyo akili timamu pekee!
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Kwa akili zangu timamu kama mwanamke mpishi siamini kama kuna mchele wa plastic,
Kwa sababu Plastic ikikutana na moto inayeyuka
Inakuaje huo mchele wa plastic usiyeyuke wakati unapikwa??
Pia unawezaje mwanaadamu ukatafuna plastic mpaka ikasagika ukameza?!
WANAOULA WANAMEZA BILA KUTAFUTA KWA MAANA WANA MATUMBO MANNE!!!
 
HII NCHI YETU SASA INAVUKA KWENYE MAJUNGU TUNAELEKEA KWENYE MAPIPA!!
Tunapouliza maswali majibu hayapatikani matokeo yake mnatuzidishia kujiuliza hivi hizi rubbish huwa zinatoka wapi?
 
Huwezi kuizungumzia sayansi kwa akili timamu na issue za kuamini tu!Sayansi ni kanuni zinazohitaji akili ya ziada kuzizungumzia na siyo akili timamu pekee!


Kwahiyo kwa akili ya ziada kuna plastic ambayo haiyeyuki na inatafunika?
 
Huenda nimeugonga nimavyopenda wali ulipikwa kwa nazi lazima nimehifadhi stoo humu kwenye tiba sasa utasia india wakati tumekula vya china.
 
Kwahiyo kwa akili ya ziada kuna plastic ambayo haiyeyuki na inatafunika?
njia rahisi ambayo ingefaa kushawishi watu wasile mchele wa China na Thailand ni kulima mpunga kwa wingi hapa kwetu bei ishuke lakini hii ya nyimbo mchele wa plastic kesho itakuwa mchele wa mbao nk haitusaidii kitu tunaimbishwa nyimbo za wafanyabiashara wanaoshindana sokoni! Ndio maana nimemhoji mtoa mada kama alishaula ama kuuona hajanipa jibu mpaka sasa ila anabadili mikao tu :D:D:cool:
 
umewahi kuona kabechi(kabichi) zilizo tengenezwa kwa mikono ya mwanadamu na zinalika tu vizuri ila ukichukua jani lake na kulichoma linageuka kuwa kama kitambaa fulani?
Mkuu sio plastic ila ni matokeo ya GM Food (genetic modified food )hii na sayansi inahusu kupandikiza DNA katika mimea hata wanyama kwa malengo ya kibiashara au kucontrol magonjwa.
 
Nina video moja inayohusiana na huu mchele, tatizo sijui namna ya kuweka video
 
Back
Top Bottom