Amini nakwambia,kama kweli ulitendewa hivo na ile pesa au nguvu yako hukumzulumu mtu,basi hakika malipo yatafanyika kwake kwa njia yoyote ile na mara nyingi Mungu umlipa mtu kiasi asijue kama yale ni malipo kwa aliyemfanyia mwanzo na hata wewe uliyetendwa waweza usijue kama yule "adui" yako yale...
Hongera zao vijana wanaenda kuuaga umaskini "haswa FA" maana AY naamini anamiliki mali zenye thamani zaidi ya hiyo pesa. Lakini pia nikiangalia salio watakalobaki nalo baada ya makato yote si zaidi ya 1.5b kwa hesabu hizi hapa.
2.1b - 18% (kodi) - pesa ya mahakama (sio chini ya 10%) - na...
Naamini mko poa wakuu,
Mi kuna maswali huwa najiulizaga na sijawahi kuyapatia majibu.
1.Nini tofauti ya mchawi na mwanga?
2.Nitamjuaje mchawi au mwanga (dalili na ishara zake)
3.Nini lengo la mchawi au mwanga?
4.Nasikia kuwa wachawi au wanga hawaibi pesa,sasa mbona nasikia uchawi na wanga...
Sasa mimi huwa nawashangaa kitu kimoja tu,kwanini wasiwe nazo wao hizo pesa kisha ndio wao wachague wenye pesa wenzao,ila badala yake yeye yupo home analishwa na Baba na Mama yake kisha anataka mume mwenye pesa kwanini huwa hawalifikirii hili ....??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.