Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,634
- 697,845
Weusi kakaMkuu unazungumzia kunguru wa aina zote hawa weusi na wale wenye mraba mweupe shingoni au vipi
Hili nimelushuhudia na huita wenzie waje waomboleze.
aisee kumbe
"Inaonesha mnaongelea vitu vya maana" lakini sasa sisi tusiojua kiingereza mmetutenga mkuu.
Usijali nitafanya maarifa"Inaonesha mnaongelea vitu vya maana" lakini sasa sisi tusiojua kiingereza mmetutenga mkuu.
Usijali nitafanya maarifa"Inaonesha mnaongelea vitu vya maana" lakini sasa sisi tusiojua kiingereza mmetutenga mkuu.
Hawa wadudu wancrem had sura kuna Dogo alizoea kuwapiga piga walikua. Wakimuona wanamfuata mpaka madrasa wanakaa Nje wanasubiri atoke waanze tena kumzomea mpaka mwalimalihis kuna kaushirikina flan
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha! Ndo kawaida ya hawa wadudu, kuna mmoja alikuwa mgonjwa bahati mbaya alikufa, nilimchukua mwenzao aliyefariki nikaenda kumzika, kumbe walishuhudia nilivyomzika yule mwenzao aliyefariki, kimbembe kikaanzia hapo, kesho yake wakaanza kunishambulia kichwani na miguu yao nikagundua wana tabia ya kukariri, tokea hapo nikawa makini nao kila nikitoka nawatazama wako kwenye mkao hivyo hivyo hadi wakashindwa kunishambulia!!!Hawa wadudu wancrem had sura kuna Dogo alizoea kuwapiga piga walikua. Wakimuona wanamfuata mpaka madrasa wanakaa Nje wanasubiri atoke waanze tena kumzomea mpaka mwalimalihis kuna kaushirikina flan
Sent using Jamii Forums mobile app
mpwa nimekimbia maji mazima, headquarters nimehamishia Msata kilingeniUtafikiri walikuwaga watu zamani,mpwaaaa ,mshana njoo inbox muhenga tuyajenge leo nakuja mabibo
Sent using Jamii Forums mobile app