Recent content by SAMSON MGAYA

  1. S

    Mikopo elimu ya juu: Serikali yaweka vikwazo kupunguza waombaji ili kukidhi ahadi ya 100%

    Ikiwa wewe ulikula kinyesi usitake na wenzako wale kinyeshi. Sifa zibaki hivyo hivyo
  2. S

    Ukaguzi wa vyeti sasa watinga TRA. Namba zinazidi kusomeka...

    Ukaguzi huu ni kwa watumishi wa umma na sio wabunge
  3. S

    Taarifa ya BAVICHA kuhusu Mikutano ya CCM Dodoma

    Mtutajie majina ya hizo gest ambazo polisi waliingia na kuwadhalilisha wanawake
  4. S

    Mkurugenzi atumbiliwa kimyakimya kwa madai si kada wa CCM

    Si kweli huyu MKURUGENZI yupo huku bhanaaa
  5. S

    Kubadilishana vituo vya kazi, Kada ya Kilimo

    Mie Afisa mifugo Halmashauri ya Mji Tarime natafuta mtu yeyote aliyopo Mkoa wa Iringa,Njombe,na Mbeya call me through 0762940676
  6. S

    Kamati ya maadili ya bunge kujadili kitendo cha Clouds Tv kumhoji shoga

    Mbona wamekemea bhanaaa. Akiwemo agness marwa aliyetaka clouds ichukuliwe hatua
  7. S

    Mkuu wa Wilaya Serengeti aliyeteuliwa kimakosa aaibishwa kwa kutolewa nje ya Ukumbi Ikulu

    Mbona alitenguliwa masaa 24 baada ya uteuzi. Leo alienda kufanya nini huko?
  8. S

    Mzimu wa ‘Bunge Live’ watikisa, wananchi watinga mahakamani

    Msiseme wananchi semeni wanachama wa chadema
  9. S

    Wabunge wote wa Upinzani yaani UKAWA, watoka bungeni

    Kwani wapinzani wamefukuzwa ? Wao si ndio wameamua kutoka?
  10. S

    Kilio mshahara wa mwezi June kwa watumishi wa Umma

    Tafuteni wa kuwadanganya
  11. S

    MBUNGE Mh. Anatropia amjibu Mh. Godluck wa Ulanga

    Mbona Magufuli alivaa mavazi hayo je ni Kosa?
  12. S

    Naibu Spika awaamuru Wabunge wa Upinzani watoke haraka

    Na saizi wamesema kama una mpenzi wako ni mbunge wa ccm achana naye. Huu upuuzi siwezi siwezi kuufanya hata kidogo
  13. S

    Kanali Lubinga: Mwandishi habari ya kuibiwa Kifaru atasimulia tumemshughulikiaje, ukatili hauepukiki

    Hilo gazeti limekuwa likizusha mambo mengi sana. Naomba jeshi limunyoshe maana hakuna namna
Back
Top Bottom