Sasa unataka kama kuna aridhi ya rutuba mijini tuache watu walime na kufuga ?? Ebu fikiri ingekuwa vipi kama tukitafuta tiba ya aridhi zisizo na rutuba . Kwa mawazo yangu me nasupport kwa asilimia 1000 ugawaji wa viwanja hvylakini wakulima wetu sasa wasibweteke inatakiwa wafanye tafiti zaidi...
Ni wazi kuwa uwezo wa kufikiri kwa wislam ni mdogo sana, tumeyaona haya mitaano kwao uko wanakokaa sisi wakristo wamiliki na waasisi wa taifa hili hatutakubali chukuchuku ya haina yoyote kutoka kwa hawa makafiri wasiojijua (waislam)
We ndo uelewa wako mdogo. Ni wazi kabisa wayu wanaotoka nje ya nchi ovyo mara nyingi wanashiriki kwwa njia moja au nyingine hapa marekani mtu hawezi kupeleka mamilioni bank bila kubainisha ameyatoa wapi uko tanzania naona siku hizi kijana from no where anakuwa na expenditure kuliko vyanzo na...
Afisa tukiachia watu wajenge ovyo mwisho wa siku nchi haita kalika na hivyo sura ya kazi ni muhimu zaidi we unaushaidi gani kuwa hao watu haeajapewa viwanja. Sikiliza pande zote mbili ndo utoemawazo yako lakini me binafsi sikubaliani na ujenzi holela
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.