Luno G
JF-Expert Member
- Sep 22, 2012
- 2,550
- 1,852
hyo phantom unabebea mfuko gan wa sarawili,,!??
ukubwa wa phantom ni kama wa galaxy s 4 si kubwa kama n7
hyo phantom unabebea mfuko gan wa sarawili,,!??
Mkuu hiyo Tecno inatumia android ?
makini mkuuni android version 4.0
Wajameni nisaidieni mie kaka yenu,,Nina Laki 3.5 nahitaji Gallaxy yenye kuendana na uwezo wang huo ila pia nataka ya high quality,, Ni Gallaxy gani nzuri na wp ntapata hapa Moro,,!!??
Pbm ya hilo li n7 ni likubwa sana mpk ulinunulie rambo ya hamsini,,,
inatumia android 4.0 ice cream sandwichMkuu hiyo Tecno inatumia android ?
Wajameni nisaidieni mie kaka yenu,,Nina Laki 3.5 nahitaji Gallaxy yenye kuendana na uwezo wang huo ila pia nataka ya high quality,, Ni Gallaxy gani nzuri na wp ntapata hapa Moro,,!!??
inatumia android 4.0 ice cream sandwich
Halafu kuna jamaa nimemuona ana tecno ambayo ni android na inatumia line mbili. Bei ikoje hiyo simu mkuu?
Android Tecno za line mbili zinauzwaje na zipo za aina ngapi?
Am beginning to get interested in them. If you can help at all, please.
Weka hmsini nikupatie galaxy tab two mpya kabisa ni tablet ya maana yenye uwezo wa kutumika kama simu