2 Wathesalonike 2:10-12 (KJV) na katika madanganyo yote ya udhalimu kwa hao wanaopotea; kwa sababu hawakukubali kuipenda ile kweli, wapate kuokolewa.
Kwa hiyo Mungu awaletea nguvu ya upotevu, wauamini uongo;
ili wahukumiwe wote ambao hawakuiamini kweli, bali walikuwa wakijifurahisha katika udhalimu.