sasa na nyie wakuu hamuoni hiyo ni geresha tu au ndio hivyo mna fikra mgando hivi hamjiulizi kwani lowasa amejua leo kuwa wananchi wa dar es salaam wanapata adha za usafiri wa daladala
nadhani ulivyo ukimuona police dudu washa linakutekenyatekenya unatamani uwawekee mkao wa chuma mboga, na niwajuavyo polisi kwenye mambo hayo hawarembi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.