Recent content by Samir7900000

  1. Samir7900000

    Pof. Ndalichako Abaini Wanafunzi Hewa Zaidi ya 1000 Vyuo Vikuu

    UD, Ardhi,Mkwawa,Sua wamepewa ila vyuo ambavyo haviwatii jambajamba vimepigwa chini hivo ndo vya hewa
  2. Samir7900000

    Pof. Ndalichako Abaini Wanafunzi Hewa Zaidi ya 1000 Vyuo Vikuu

    Muliobahatika mumepata sisi vyuo vya mikoani imekula kwetu, kweli pesa madafu..
  3. Samir7900000

    Hii ina Maana Gani kwetu?

    Kwa MTU anaye uelewa huu mchezo hautaji kutafuta refa wa kumbeba..no vyuo vikubwa havina hewa vilivokwisha patiwa pesa? Au ni kuwafanya wasipige kelele tena?
  4. Samir7900000

    Pof. Ndalichako Abaini Wanafunzi Hewa Zaidi ya 1000 Vyuo Vikuu

    Hewa kimaana IPI? Huu ujanja ujanja wa kuto toa pesa za field na hivo kasitisha eti.
  5. Samir7900000

    Hii ina Maana Gani kwetu?

    Vyuo vingi vimepewa sisi bhado, ndo imekula kwetu ama?... Pof. Ndalichako Abaini Wanafunzi Hewa Zaidi ya 1000 Vyuo Vikuu MUUNGWANA BLOG / 3 hours ago WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako amesitisha malipo ya posho za kujikimu kwa wanafunzi wa vyuo vikuu hapa nchini...
  6. Samir7900000

    iPhone na matatizo yake: Ushauri, maujanja, matengenezo na mengineyo

    Nimenunua iPhone ya dili hapa 6+ elfu 40 kutoka kwa teja, but nimechomoa kimin cheap (laini) iliyokuwa inatumika ni Tigo, hii simu inauwezekano kufunguka? Maana ina password kwa kioo.. Wataalam nijuzeni
  7. Samir7900000

    Ruaha Catholic University- RUCU hatujapata pesa ya field hadi sasa!

    Vyuo vingi vishapatiwa pesa zao, chuo chetu inasemekana pesa hata haijaja kwa Maelezo ya Loan officer, tunawasiwasi kaiweka fixed account. Mwenye namba za Bodi ya Mkopo tunaomba tuweze kuwasiliana nao moja kwa moja, tupo likizo vyuo now closed waziri wetu naye ni mtu asiyekuwa upande wetu...
  8. Samir7900000

    Ndalichako vs Pesa ya Field

    Tukigoma huku na wenyewe kujua may be itasaidia ela kusekwa, hivihivi hamna kitu
  9. Samir7900000

    Mwenye ujuzi kuhusu hii bachelor of environmental health

    Katika Tanzania bara only Muhas na Rucu
  10. Samir7900000

    Mwenye ujuzi kuhusu hii bachelor of environmental health

    Hauna uhakika Mkuu unaposema muhumbili peke yake, Mimi naingia mwaka wa 3 bachelor of environmental health sciences ipo Ruaha Catholic university (RUCU) Iringa. Pia inatolewa chuo cha Zanzibar.
  11. Samir7900000

    Mzee Yusuph aamua kuachana na muziki na kumrudia Mungu wake

    Aina ya muziki anao imba imepita wakati wake
  12. Samir7900000

    Ndalichako vs Pesa ya Field

    Huyu si mnufaika isitoshe anategemea kujiunga kuwa mnufaika.
  13. Samir7900000

    Ndalichako vs Pesa ya Field

    Umeulizwa chuo gani?
  14. Samir7900000

    Ndalichako vs Pesa ya Field

    Kukaa kimya kutoongelea swala hili inamaanisha nini wadau? Hebu mujiongeze kidogo ndugu wakuu mulioko field, mumesha ambiwa muende field muache mgumo baridi but uhakika wa hizo pesa nusu hauko kabisa mujue..week imeenda sasa kesho ijumaa pia no any information concern this. Maoni Tafadhali...
Back
Top Bottom