Recent content by Samgsamg

  1. Samgsamg

    Miongoni mwa mambo yanayomdalilisha Mwanamke,hili limo!!!!

    Kulipa mahari sio kufanya biashara hata siku moja nakama ingekuwa ni kufanya biashara basi watu wengi wangetajirika sana ninacho kifahamu kuhusu mahari ni kuunganisha undugu wala sio biashara. Kwanza unapo kuwa umepata mtu wakumuoa maranyingi huwa tunakuwa na mtu anae itwa Mshenga huyu kazi yake...
  2. Samgsamg

    Kupitia UTT, Ninahitaji milioni 2 kila mwezi

    Umeongea vema ila kumbuka kuwa si kila mtu anaweza kuiendeleza pesa yake kwanza uelewa tumatofautina, Elimu pia tunatofautiana Lakini pia mzungukuo wa dunia hii ili uendelee vizur lazima kuwepo kuzidiana hivi kama wote tungekuwa na uelewa kama wako nani angethubutu kuwekeza ,jibu hakuna kwaiyo...
  3. Samgsamg

    TAESA yatoa fursa kujisajili upya

    Utakuwa huna shida Kazi ww
  4. Samgsamg

    Rais Samia: Miaka 30 ya Vyama Vingi - Changamoto na mustakabali kusonga mbele

    Mabadiliko ya kweli yanaweza kuaptikana endapo tu kwanza wasomi wa nnchi hii wakijitambua nakujua kuwa wale wasiosoma wanawategemea kuleta mabiliko yenye faida Pili katiba itayo weka uhuru wa, mahakama bunge ,serikali ,na tume ya uchaguzi Tatu mfumo wa vyama vingi ufanyiwe marekebisho badala...
  5. Samgsamg

    Je, Mungu aliumba dunia kwa miaka Elfu 6?

    Hii inatufikilisha isee
  6. Samgsamg

    Hivi mpenzi wako kama ni mwanga/mchawi anaweza kuja kwako night kukufumania?

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787] sijui umewaza nini ndugu duhuu!!!!
  7. Samgsamg

    Nataka kupeleka ubuyu Zanzibar kutoka Bara, ushauri tafadhali

    Ndugu wana JF Naomba kuuliza kwa uliye Zanzibar nahitaji soko la ubuyu yaani kuleta ubuyu Zanzibar kutoka bara
Back
Top Bottom