Recent content by Samgordon

  1. S

    JamiiForums Tanzania Natafuta mke

    Nina miaka 26 naishi morogoro(ulanga) nahtaj mwanamke umri miaka 25-20 awe na upendo tu kwa watu wote aliyetayari ani PM au awasiliane 0654572467
  2. S

    JamiiForums Tanzania Natafuta mchumba

    Kabila:lolote umri:18-26 kazi:yoyote ya halali asiwe mfupi sana rangi:yoyote) mawasiliano:ni pm ahsante
  3. S

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mke mtarajiwa (mchumba wa kike)

    Mimi ni mwalimu shule ya msingi umri wangu ni miaka 26 na nafanya kazi wilaya ya Ulanga (MOROGORO) nahitaji mchumba awe na umri:20-23,awe mkristo,awe na mwili wa wastani,awe anajishughulisha si lazima aajiriwe serikalini au ngo's,Elimu:iwe angalau kidato cha nne. Ni PM au nitafute kwenye...
  4. S

    JamiiForums Tanzania Familia imeniambia nisioe mwanamke asie na kazi ya Serikalini eti atanitegemea sana. Je, ni sahihi?

    Kesho yako ipo mikononi mwako chagua maamuz yako' maisha hayatafutwi serikalini yanatafutwa kwenye kujituma na kujibidiisha na ubunifu kwa kila jambo
  5. S

    JamiiForums Tanzania Mavazi ya staha/kujistiri/kishamba yanakubalika na wanaume kuliko wadada tunavozania!!

    Yelewi huo mwili na jinsi alivyovaa ni sumu kweli
  6. S

    JamiiForums Tanzania Natafuta mchumba

    Salaam' naitwa sam npo morogoro nna miaka 26 natafuta mchumba awe na umri kuanzia miaka 22-23,asiwe mwanafunzi awe mweupe au mweusi nipo gudy kwake na awe mrefu wa wastan,awe mkristo aliye tayari anicheki kwenye namba 0654572467
  7. S

    JamiiForums Tanzania Tunapendana ila tunaogopa kuambiana

    Jua kaneno mapenz kaneno kafupi ila kana mambo mengi so kuwa jasiri tu mchane
  8. S

    JamiiForums Tanzania Aliniambia ana PhD ila nikimtumia sms za kingereza hajibu

    Phd si kama nick name siku hizi mtu yeyote anaweza kukupa alafu mapenz sio elimu elimika bradha
  9. S

    JamiiForums Tanzania Baba na mama wana mgogoro mkubwa nisimame upande upi?

    Pamoja na migogoro yote kati ya baba na mama yako' unatakiwa kutambua nafasi yako katika familia kwamba ww bado ni mtoto so ukwely utabaki kwamba yule ni mama yako na yule ni baba yako huwezi kubadilisha ukweli japo inaumiza ila kaa na mama yako then jaribu kumshauri tu juu ya hilo naiman atakuelewa
  10. S

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri: Mume wangu ananiachia majukumu

    Fanya yako kabla giza halijaingia
  11. S

    JamiiForums Tanzania Nimempa mimba house girl hataki kuitoa wala kuondoka hataki

    Ya kwako ya ukweli iko wap
  12. S

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya Makampuni ya Simu ni Wizi Mtupu

    Dole mkuu kwa hlo
  13. S

    JamiiForums Tanzania Video: Mayweather, Siwezi kusaidia Afrika kwa sababu haina mchango wowote kwenye mafanikio yangu

    Dunia ni kubwa anatakiwa akumbuke anaishi kwenye dunia yenye mambo mengi asingekuwa staa bila sapot ya watu kutoka pande zote za dunia na sidhan kama kuna mtu alimuomba msaada ila ni swali aliloulizwa tu ni mda wa viongozi wetu kujitathmini na kujenga uchum wetu bila kutegemea msaada
  14. S

    JamiiForums Tanzania Wakati viongozi wangu wanajiuliza kwa nini SHILINGI yetu inaporomoka, wanatakiwa pia kujiuliza haya:

    Only one word stupid leaders leads poor country' wat a pity!
  15. S

    JamiiForums Tanzania Mafuriko makubwa yaikumba Dar es Salaam

    Yah' panatia mashaka ikinyesha mvua miundombinu bora imekosekana kwenye miji mingi ya nchi hii
Back
Top Bottom