Unafiki tu unawasumbua,
Niambie ni kiongozi gani mkubwa unaemjua wa upinzani anashabikia Yanga?
Kuna mwigulu,
Kikwete,
Tarimba,
Ridhiwani,
Karume,
Shein,
Na wengineo wengi wapo ccm na mashabiki wa Yanga, ila upinzani sijui ni nani anashabikia timu gani,
Kipindi mama anaingilia suala...
Sina maana hiyo, hapo ndugu wa familia moja wanaamua kesi, tunapoteza mda wetu bure tu kupiga kelele,
Mramba aliibia taifa ma bilioni hukumu yake kwenda kufagia, dogo kachoma picha kala mitano.
Iliwahi nikuta hii mwaka 2006/7 wanakwaya sijui praise walikua wanajifunzia chumbani mwao tena usiku, mwendo wa majitaa tu adi 8 usiku...
Tukaamua na jamaa yangu kuchukua ufa kubwa sean piano, wakianza tu na sisi tunafungulia wakamwita kiongozi wao hakai mbali kaja kutufokea tukazichapa wapo...
Ingekua hiyo fursa waliyopata wamasai imeenda kwa wachaga ungekua wote wako msomera wanasubiri nyumba zao ziishe wangejihamisha wenyewe wanajua kucheza na fursa.
Hapa ndio wenye akili kisoda hudanganywa kwa kuambiwa maeneo ya asili wakati wengi wamevamia, kisa tu babu yako kavamia ukizaliwa wewe linakua la asili? Jiulize kati ya hao wanyama na binadamu nani kamkuta mwenzie?
Hii imetokea ili iwasaidie mashabiki wa simba kujifariji kidogo, maana yanga ingeshinda na jana simba ikashinda bado wangepiga kelele timu yao haichezi vizuri[emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Rushwa ipo popote wakati wowote, tena kipindi chake ndio watu wanalikua wanapiga ela kimya kimya bila kelele yeye akiwa kinara wao, maana vyanzo vya kutoa habari vilikua vimebanwa, mtu ukitoa taarifa ya rushwa unatafutwa wewe, ukitoa taarifa ya mradi m'bovu unakamatwa wewe, nadhani mnakumbuka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.