Recent content by Sambali Boy

  1. Sambali Boy

    Msaada kwa anayefahamu hatua za kufuata ili kupata chuo na ufadhili nje ya nchi.

    Bado naendelea na process but till this time nilicho fanikiwa ni kupata nafasi Australia ambapo natakiwa nipitie Kenya kwaajili ya primary learning. Nkifanikiwa kukamilisha requirements zote ndipo ntakuja kuwapa full statements about this. For sure process ni ndefu inahitaji time ya kutosha...
  2. Sambali Boy

    Msaada kwa anayefahamu hatua za kufuata ili kupata chuo na ufadhili nje ya nchi.

    Mkuu kama unafahamu juu ya kile ninacho hitaji plz naomba nifahamishe swala la ada ckulitaja labda kama utaweza pia kutoa Aid ya ada kwa mdogo wangu karbu lakin usisahau kunisaidia ombi langu la awali.
  3. Sambali Boy

    Msaada kwa anayefahamu hatua za kufuata ili kupata chuo na ufadhili nje ya nchi.

    Nadhani labda hujaelewa naomba msaada gani. Kukosa mkopo c mwisho wa kutafuta njia ya kujikwamua. Issue ni market ya coz anayohitaji now tofaut na IT
  4. Sambali Boy

    Msaada kwa anayefahamu hatua za kufuata ili kupata chuo na ufadhili nje ya nchi.

    Nilipendelea vyuo hivi vitatu 1) Fleming college ( Canada) 2) Niagara college ( Canada) 3) TAFE NSW ( Australia)
  5. Sambali Boy

    Msaada kwa anayefahamu hatua za kufuata ili kupata chuo na ufadhili nje ya nchi.

    Kama kichwa cha habari kinavyo sema, nahitaji nipate mawazo chanya kwa atakaekua anafaham. Nina mdogo wangu kamaliza kidato cha sita mwaka 2016. Alijiunga na masomo ya elimu ya juu ktk chuo cha usafirishaji cha taifa akichukua degree ya teknolojia ya habari na mawasiliano (bachelor degree in...
  6. Sambali Boy

    Maneno haya hayakufaa kutamkwa na Rais wa nchi, yamemshusha hadhi

    Hatakama ni utoto lkn kuwa mpinzani hakumaanishi wewe u nabii. Niwazi kelele kwa upinzani ni moja ya mchango mkubwa kwa kufanya chama tawala kuwa makin ktk utendaji kaz lakin ziwe na mashiko na sio kukalilisha watu kwakuwa wanashida basi lazima nao walalame bila kujali hali ya nguvu yao ktk...
  7. Sambali Boy

    Maneno haya hayakufaa kutamkwa na Rais wa nchi, yamemshusha hadhi

    Ilikua vizur sana kama wapinzani wangekuwa wanapma maneno yao kabla ya kulalamika. Inasikitisha sana unapomlalamikia mtu kwahofu wakati hujui yeye kawaza yapi mpaka akatamka hivo. Upinzani tumekosa busara tumebaki kuhahatu huku msimamo wetu ukiwa bendera hali inayotushushia hadhi yetu hasa kwa...
  8. Sambali Boy

    LAKI TANO TU

    Kwa kilimo cha masika mbona huo ni mtaji mkubwatu. Lkn subiri wengne waje
  9. Sambali Boy

    Natafuta kazi:

    Watu mnakalili vibaya. Et mtu kama hana kazi basi akalime! Huo mtaji wa kilimo angekuanao sizani kama angetafuta kazi.[emoji40] nlijaribu tu kuwaza loudly
  10. Sambali Boy

    Kwa anae hitaji msaada wa usimamizi wa Mradi wake wa kilimo pita hapa.

    Wakuu habari, kama title inavyosema ninahitaji mtu yeyote ambae atakuwa anapata tabu niwapi atapata msimamizi wa shamba lake Kwa shughuli za kulima, palizi, kupulizia dawa na mavuno mkoa wa morogoro. Piga 0678058876 au 0683342816 Tupige kazi
  11. Sambali Boy

    Matokeo kidato cha sita 2016

    sasa mbona hata hiyo website ya loan haisomeki
  12. Sambali Boy

    Nimeamua kujitoa muhanga

    Nikwel nalo nimoja ya mipango yangu lakn kama nilivokwishakúsema kwa mdau mmoja kua mfamaji haachi kutapatapa chochote anachoona kitamsaidia hukfwata, nihivyo mkuu
  13. Sambali Boy

    Nimeamua kujitoa muhanga

    Shortly nikwamba huku nilikua mjasiliamali wa matofali ya kuchoma but now imekua ngumu kwa7bu gharama za uendeshaj zmekuwa kubwa wakat tofali likiwa halipand bei, hicho ndicho ninauzoefu nacho mkubwa. Kingne labda ni mambo ya ufund wa furnitures lakñ hyo cjaiva xaana kivile, Swala la kilimo...
  14. Sambali Boy

    Nimeamua kujitoa muhanga

    Siunajua mfwamaji..........
Back
Top Bottom