Matokeo yatatoka mwishoni mwa mwezi wa tisa wakati Vijana watiifu kwa serikali watakapokuwa wanamaliza nafunzo ya JKT na nashauri yatolewe huko kambini tu ili wale waliokwepa kwenda JKT waisome namba!
Hii si kweli, hatujawa na ufaulu kiasi hicho cha kukosa nafasi wote wenye Div.3 na hakuna circular yeyote iliyotolewa kuhusu hiki kilicho andikwa.hivi ni kweli imepitishwa eti ukipata division 3 form six huendi chuo kikuu kwamba universities tanzania ni kwa ajili ya div 2 na div 1.
Mama mdogo uwe unauliza basi sio unakurupuka mama mdogo jamani Kati ya watu 75000 wameenda 15000 tu mama mdogo vipi kwaniMatokeo yatatoka mwishoni mwa mwezi wa tisa wakati Vijana watiifu kwa serikali watakapokuwa wanamaliza nafunzo ya JKT na nashauri yatolewe huko kambini tu ili wale waliokwepa kwenda JKT waisome namba!
ana matatizoMama mdogo uwe unauliza basi sio unakurupuka mama mdogo jamani Kati ya watu 75000 wameenda 15000 tu mama mdogo vipi kwani
Kama hujui jambo n bora ukae kimya kukaa,kimya sio ujingaMatokeo yatatoka mwishoni mwa mwezi wa tisa wakati Vijana watiifu kwa serikali watakapokuwa wanamaliza nafunzo ya JKT na nashauri yatolewe huko kambini tu ili wale waliokwepa kwenda JKT waisome namba!
ni ipi?????Kwan tar ya matokeo huwa haifahamiki always
Sasa yametoka. Kazi kwakoMatokeo yapo katika MIKONO SALAMA, tuliza jazba mambo yakikaa sawa yatawekwa wazi
Sasa yametoka. Kazi kwako
matokeo tayari mkuuWakuu kama kuna mtu anaefahamu tarehe ya matokeo kutoka ya kidato cha sita 2016.. anisaidie![]()