Ni UWONGO mkopaji lazima abakiwe na 1/3 ya mshahara wake 1/3 ya 3.1m ni 1m yeye anasema nanakwatwa 2.8 take home ni 300k wakati take home inatakiwa 1/3 ya mshahara wake 1m
Baada ya serikali kukataa kupitisha pesa zamiradi toka nje ya nchi kwaajili ya mji wa Kigoma ya ukarabati MV.liemba 20b kutoka Germany, 120b ukarabati wa bandari kutoka Japan na 36m kutoka Kuwait kwaajili ya schem ya umwagiliaji. Ilimradi aonekane hajafanya kitu na yeye kaenda kuwachoma WB...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.