Mara nyingi huwa yanatoka yenyewe, kwa uzoefu wangu kichwa kikiwa upande wakati wakulala maji yanatoka yamotomotoyameniingia sikioni wakati naoga
Fanya Saizi Usidhani Masihara.Ntajaribu
Ni kutokana na joto la mwili kwa vile yanakuwa kwenye chemba ndogo na hayana mawasiliano na ubaridi wa nje ndiyo maana yanapata uvuguvugu!Huwa kwa nini yanatoka ya Motomoto..
Hivi huu ushauri ni kweli au? Yaani aongeze maji mengine,naomba ufafanuzi tafadhali.Weka maji mengine kwenye hilo sikio mpaka uyasikie yameingia ndani, baada ya hapo inamisha kichwa upande wa hilo sikio huku ukiruka ruka kama unaruka kamba yatatoka!
Huu ushauri uko vizuri hata mimi nilishawahi kujaribu kudondoshea matone mengine ya maji ili kuyatoa maji yalioingia sikioni.Dondoshea Tena matone mawili au Matatu ya maji Yakishaingia inamisha sikio ili maji yatoke.
Harafu Njoo Unipe Mrejesho..
bora wewe,
kuna jamaa yngu aliingia kungunii..
Jua likiwaka anachomoza kdg anaota jua, kabaridi kakianza anarudi ndani kwakee..
Tena ngoja nimuulize,
wamezaliana auu....?