KUULIZA SIO UJINGA
baada ya awamu ya tano kuingia madarakani iliunganisha wizara ya afya na ya maendeleo ya jamii, jinsia, watoto na wazee lakini sijawahi kusikia waziri au naibu wake wakijadili chochote kinachogusa maendeleo ya jamii ambayo msingi wake mkuu ni PARTICIPATION OF THE PEOPLE sasa...
afisa tarafa unaongoza tarafa yenye kata ambazo zina shida mbalimbali kwa nini hao watu wasikusaidie kuhimiza maendeleo huko walipo ''maendeleo hayana vyama'' hembu fanyeni shughuli za maendeleo ili waachague sio kuwapa rushwa. watu wanataka maendeleo sio mtendaji wa serikai kuja kujitangaza...
umepewa kazi ya kuja kusifia wenzio ukaona na wewe uwe maarufu afisa tarafa wa themi hivi kwenye tarafa yako ccm wana kaya ngapi? ukumbuke wewe ni mtumishi wa umma siasa waachie wanasiasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.