Baba mi sina ubishi we kweli ni OP MKAPA kuns jembe langu umelitaja hapo Kimondo huyo jamaa namfahamu ni CDO ila dah maisha acha yaende.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wadau natafuta anaetengeneza maua ya shanga kwa ajili ya kutengeneza viatu vya kimasai;
1.Yawe shanga Original
2.Uwe na uwezo wa kubadika kulingana na hitajio
3.Bei ni Tsh.3,000/=kwa pea moja
4.Awe na uwezo usiopungua pea 50 kwa wiki
Waislam hawaagi Maiti (Marehemu) kinachofanyika ni kutoa utambulisho wandugu au watoto wa marehemu endapo wakati wa tukio la mauti hawajakuwepo kinachofanyika ni yule mtu wa karibu aliyekuwepo wakati umati unamfika kuwaeleza ndugu/watoto wa marehe kwamba huyo ndiye baba yenu au ndugu yenu tena...
Pole mkuu ila sahau yaliyopita fanya kama hujawahi kuajiriwa zen songa mbele wengi yalitukuta hayo mimi nilisimamishwa kazi mwaka 2014 nikajikita kwenye biashara nashukuru MUNGU kiasi nimefanikiwa na mimi naitwa BOSS kwan katika biashara zangu nimeajiri watu 5 wanaotegemea kuendesha familia zao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.