Unakuta kadi ya bank kimuonekano iko vizuri lakini unatumiwa ujumbe 'kadi yako mwisho wa matumizi ni tarehe fulani uje uombe nyingine'.
Sasa wanafanya hivyo kwa usalama wa akaunti au hayo materials waliotengenezea kadi yana expire?
Kama ni materials ombeni utalaamu kutoka mitandao ya simu mbona line huwa hazi expire?
Sasa wanafanya hivyo kwa usalama wa akaunti au hayo materials waliotengenezea kadi yana expire?
Kama ni materials ombeni utalaamu kutoka mitandao ya simu mbona line huwa hazi expire?