Recent content by sam sanity 01

  1. sam sanity 01

    Chakula bora cha Nguruwe wa kisasa

    Ndi o maana nikahitaji msaada mwanajamii
  2. sam sanity 01

    Chakula bora cha Nguruwe wa kisasa

    Natumi a 250k na wanakula kila mmoja 3-4kg kwa siku maana yake mwezi hauishi
  3. sam sanity 01

    Chakula bora cha Nguruwe wa kisasa

    Hii walinielekeza ni majani yanaitwa LUKINA. sijajua wengine mnaitaje
  4. sam sanity 01

    Chakula bora cha Nguruwe wa kisasa

    Mimi natumia gharama kubwa kupata mchanganyo kwaajiri ya nguruwe ambao ni:- Pumba mahindi 700kg Concentrate 50kg Mashudu 200kg OlaQuindox 500mg Bokhash 10kg Dcp 10pkt Pig booster 10pkt Toxic binder 1kg Jumla tani 1 ya chakula. Napata matokeo lakini faida inakuja ndogo sana. Je wanajamii...
  5. sam sanity 01

    Wanaoifahamu Nsumba Boys iliyoko Mwanza!

    Usijali kukomaa lazima maana life halina mzaha
  6. sam sanity 01

    Wanaoifahamu Nsumba Boys iliyoko Mwanza!

    Asante na salamu nitazifikisha ila ntaenda PCB
  7. sam sanity 01

    Ni kitu gani cha lazima usichokipenda?!

    God angefanya yake tungekua kama jadu mwanga wa jua ndo msosi
  8. sam sanity 01

    Msaada: Topic muhimu katika masomo ya PCB

    Sio uoga wala kufeli kuna topic zenye marks nyingi kwenye paper
  9. sam sanity 01

    Wanaoifahamu Nsumba Boys iliyoko Mwanza!

    Hapo gud sio shule iko pembeni ya soko
  10. sam sanity 01

    Wanaoifahamu Nsumba Boys iliyoko Mwanza!

    Vp kwa wageni maana shule nyingine mgeni ndo mjmtumwa
  11. sam sanity 01

    Ni kitu gani cha lazima usichokipenda?!

    Aise kula kunamaliza pesa
Back
Top Bottom