Msaada: Topic muhimu katika masomo ya PCB

sam sanity 01

Member
May 25, 2017
37
8
Ndugu wanajamii nilikua nahitaji kujua topic muhimu katika masomo ya PCB. Pia na jinsi ya usomaji wake ili kuendana na muda.
4bd2b31a8787e24d5c191c706d148903.jpg
 
Topics zote ni muhimu mkuu katika masomo yote,uloyataja.na kuhusu usomaji ni wew tu,kujipangia muda wa kuwepo darasan,kusoma vitabu,kupitia past papers na discussion pia.so hapo ni suala la muda tu.
 
Zote muhimu Ila kuna nyingine ni muhimu zaidi Ukifika Shule tafuta format ya Necta Mfano chemistry organic chemistry paper one ina marks 30 paper 2 marks60
 
wewe usipo kuwa makini utafeli hakika ,,,kama umeanza uliza umuhimu wa topic wakati zote zinatoka kwenye mitihani!! Labda uliza ni topic gani usome tuitsheni kwa madoma ya bio, chem na phys!!!
 
wewe usipo kuwa makini utafeli hakika ,,,kama umeanza uliza umuhimu wa topic wakati zote zinatoka kwenye mitihani!! Labda uliza ni topic gani usome tuitsheni kwa madoma ya bio, chem na phys!!!
Sio uoga wala kufeli kuna topic zenye marks nyingi kwenye paper
 
Soma kwa mtindo wa maswali,hutojuta
Hii style unayomshauri sidhsni kama ni nzuri kwake. Atakuwa anasomea mtihani na kamwe hawezi kuwa competent. Hii itamlemaza na hata akiwa kwenye masomo ya profession itampa wakati mgumu.
Namshauri asome tu topics zote na aelewe anachosoma. Kujibu maswali kwa kitu unachofahamu ni rahisi kuliko hiyo njia ya kujihami kwa maswali.
 
Back
Top Bottom