Hello wanajukwaa. Naombeni ushauri wenu kulingana na uzoefu wenu wataalamu.
Nina mdogo wangu kamaliza kidato Cha nne mwaka jana, amepangiwa Kozi ya ICT chuo Cha Taifa Cha usafirshaji.
Mimi nilitamani sana asomee mambo ya maji hasa kozi ya Water supply engineering au pump mechanic engineering...
Nashukuruni sana Sana kwà maelezo mazuri. Nimepata mwanga. Hata hivyo nimesharipoti na swala langu nimehakikishiwa kwamba Recategorization kwà swala linawzekana.Nitarudi kuleta mrejesho nikifanikiwa.
Asanteni Sana
Habari za muda huu wadau wa JamiiForums.
Naomba ushauri na maelezo kuhusu Recategorization kwenye swala la ajira.
Mimi ni Clinical Officer lakini pia ni Mwalimu wa mathematics Ngazi ya degree. Niliomba ajira za Ualimu degree (mathematics) na nimepangiwa post tayari.
Niliomba ajira hii baada...
sio mbaya kwa wao kufanya majaribio yao ili mradi wasiwadhuru wengine. Kwani marekani ni kitu gani kuitawala dunia?? Marekani wenyewe wezi tu. Mzee wa kiduku fanya yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.