Na pia tunatakiwa tujuwe hiyo tofari ya kuchoma iko kwenye kiwango gani maana me nishawahi kuona tofari inashuswa kwenye tipa kwa kumiminwa na hakuna inayovunjika
Matofari ya kuchoma ni Imara zaidi kuliko ya cement, hata ikitokea nyumba imeungua moto, nyumbani tofari za cement itakuwa haifai tena kwa asilimia kubwa hasa kama imeungua kwenye kuta,wakati za kuchoma inakuwa ndo zimeimarishwa zaidi na ule moto...
Hata kwenye swala la mikopo ya chuo ilikuwa hivyo hivyo, mwaka 2014 - 2015 asilimia kubwa wamepata , lakin 2016 - 2017 hakuna kitu , kama cyo siasa ni nn sasa.....?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.